• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kyela Sio Omba Omba-Dr.Hunter Mwakifuna

Imewekwa Kwenye: September 19th, 2018

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna amesema wilaya ya Kyela sio omba omba alipokuwa akizungumza katika hotuba yake, aliyoitoa katika kikao cha Baraza la kufunga mwaka 2017/2018,siku ya jumatano tarehe 19/09/2018, wilayani Kyela.

Amesema, hali ya chakula katika wilaya yetu ni nzuri, kwani uzalishaji wa chakula mwaka 2017/2018 ni tani 94,950, wakati mahitaji ya chakula kwa wilaya ni tani 54,737 kwa mwaka 2017/2018.

Aliongeza kwa kusema wilaya ya Kyela ina chakula cha ziada tani 40,213. Na aliwataka wananchi kutunza chakula chao kulingana na ukubwa wa kaya zao ili kuepukana na balaa la njaa.

Aidha Mhe. Dr. Hunter Mwakifuna alizungumzia miradi ya kimaendeleo iliyofanyika katika wilaya yetu, alisema; 

Wilaya ya Kyela ina mtandao wa barabara ya kilometa 556.9, na madaraja 4 yamejengwa, ukarabati wa madaraja 7 umefanyika, makalavati 20 yamejengwa.

Utekelezaji wa haya yote yamegharimu jumla ya shilingi 1,415,235,343.00, na wilaya bado inaendelea kutekeleza miradi 3 ya barabara katika mradi wa kuondoa vikwazo (Bottleneck), ambapo hadi sasa kiasi cha shilingi 3450,391,272 zimetumika.

Aidha katika kukuza na kuinua Tanzania ya uchumi wa viwanda wilaya ya Kyela imetenga eneo lenye ukubwa wa hekta 54.7 kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda kwa wananchi wa ndani na wa nje.

Pamoja na hayo, wilaya ya Kyela imeendelea kushirikiana na wadau kama JAICA, TECHNOSERVE, mtenda Rice Supply company limited, GSI, hawa wamesaidia kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wananchi wa wilaya ya Kyela, na hadi sasa Wilaya inaviwanda 245 vidogovidogo vya wajasiriamali hao.

Aidha wilaya ya Kyela imetoa mikopo kwa vikundi 21 kati ya vikundi 54 vya wanawake na vijana, na shilingi 100,000,000 zimetengwa kwa ajiri ya uboreshaji wa masoka yatakayowasaidia wanawake na vijana.

Mwisho aliwashukuru Madiwani na watalaamu wote ambao wameweza na kuthubutu katika swala zima la kusimamia shughuli za maendeleo wilayani Kyela. 

Imetolewa na :

Mkurugenzi Mtendaji 

Ofisi ya Habari na Mawasiliano 

Kyela. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa