• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kyela Yafanya Maombolezo Kwaajili Ya Mpendwa Wetu John Joseph Pombe Magufuli.

Imewekwa Kwenye: March 25th, 2021

Halmashauri ya wilaya ya kyela imefanya maombolezo Kwaajili ya aliyekuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli; Maombolezo hayo yamefanyika tarehe 24/3/2021, uwanja wa mwakangale uliopo katika wilaya ya kyela. Maombolezo hayo yamehudhuliwa na wananchi, taasisi za kiserikali na binafsi  huku mkuu wa wilaya ya kyela akiwa ni mgeni rasmi wa maombolezo hayo.

Akizungumza mkuu wa wilaya ya kyela Claudia Kitta, amesema kuwa kifo cha Dkt. John Pombe Magufuli kimetuletea simanzi kubwa sio kwa Tanzania tu na dunia nzima maana alikuwa ni Rais wa wanyonge, mpenda haki lakini pia mcha Mungu ambaye alitenda kazi zake kwa kumwogopa Mungu.

Licha ya hayo aliongeza kwa kusema kuwa hayati John Magufuli amegusa sekta zote zikiwemo elimu bila malipo, ujenzi wa vituo vya afya, hospitali mbali mbali nchini, ujenzi wa viwanja vya ndege na ununuzi wa ndege, miundombinu kila Kona zikiwemo barabara, meli katika maziwa yetu na bahari, na kyela tukiwa miongoni mwa watu walionufaika kwa kupatiwa meli ndani ya ziwa nyasa na kuifikisha Tanzania katika maendeleo ya juu.

Aidha, mwenyekiti wa halmashauri ya kyela ndugu Kature Godfrey Kingamkono alipewa nafasi ya kuzungumza kwenye maombolezo hayo, naye alisema kuwa John Pombe Magufuli alipenda kuamini Mungu, lakini pia kazi pamoja na ukweli na alimalizia kwa kuwataka wananchi wa kyela waendelee kumuenzi hayati John Pombe Magufuli kwa kuwa ameacha alama kubwa ya utendaji kazi wake katika taifa letu. 

Mwisho, wananchi  waliendelea kama ilivo kuwa kawaida kusaini katika kitabu cha maombolezo kilicho kuwa kimewekwa ndani ya uwanja wa mwakangale kwa siku hiyo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa