• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kyela Yasifiwa Kwa Kumaliza Migogoro

Imewekwa Kwenye: August 13th, 2018

Sifa hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albart Chalamila alipokuwa akifungua Kikao cha Baraza la Madiwani wilayani Kyela tarehe 13/08/2018.

Mhe. Albert Chalamila alipongeza viongozi wa wilaya ya Kyela hasa waheshimiwa Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Hunter Mwakifuna, kwa jitihada kubwa za kumaliza migogoro iliyokuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya wilaya.

Pia alialiwataka viongozi kuachana na tofauti za kiitikadi kwa sasa na kuungana pamoja kwa kusimamia maendeleo kwa wafaida ya wilaya na wananchi kwa ujumla. 

Aidha alisema wilaya ya Kyela imekuwa ikijitegemea kwa asilimia 7tu ambapo si kitu kizuri kwa wilaya. 

Kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, Halmashauri imekusanya mapato kwa asilimia 67.18 ya mapato yote, na alisema hali hii si zuri na hailidhishi kabisa. 

Aidha Mhe. Mkuu wa Mkoa alisema, inawezekana upungufu wa mapato haya umetoka na changamoto mbalimbali ikiwemo kushuka kwa asilimia ya ushuru wa mazao,  hivyo basi ni jukumu la Halmashauri kubuni vyanzo vipya vya mapato visivyowaumiza wananchi. 

Hata hivyo Mhe.  Mkuu wa mkoa wa Mbeya aliipongeza wilaya ya Kyela kwa kupata hati inayolidhisha kwa Mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Mwisho aliwaonya wafanyakazi wazembe kufanya kazi kwa kujituma. Kwani kufanya kazi kwa kupapasa ni kutokuitendea haki Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na aliwasii kubadilika haraka kwani hatua za kinidhamu zitachukuliwa haraka kwa wafanyakazi wasiotaka kubadilika. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa