• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAPATO YA NDANI YAIWEZESHA KYELA KUNUNUA MTAMBO WA KISASA WA KUTENGENEZEA BARABARA

Imewekwa Kwenye: June 22nd, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kyela imenunua mtambo mpya wa kutengenezea barabara (scavator) kwa gharama ya Shilingi milioni 378 fedha za Mapato ya Ndani, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha miundombinu ya barabara hasa maeneo ya vijijini. Hatua hii imekuja baada ya juhudi madhubuti za usimamizi bora wa ukusanyaji wa mapato na matumizi yake chini ya uongozi thabiti wa viongozi wa Halmashauri hiyo.

Mtambo huo unatarajiwa kusaidia kwa kiwango kikubwa kazi ya ukarabati na uboreshaji wa barabara hasa kipindi cha mvua ambapo barabara nyingi huharibika na kuwa kikwazo kwa wananchi kufikia huduma muhimu kama shule, vituo vya afya na masoko ya kuuza mazao yao. Kupitia mtambo huo, barabara zitakuwa zinapitika wakati wote wa mwaka na hivyo kuchochea shughuli za kiuchumi vijijini.

Katika hatua nyingine, viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela wamesema kuwa ununuzi wa mtambo huu ni mwanzo tu wa jitihada za muda mrefu za kuboresha miundombinu. Wameeleza kuwa tayari mipango imewekwa ya kununua mitambo mingine ikiwemo Grader na roller zitakazosaidia katika utengenezaji wa barabara kwa kiwango bora zaidi na kwa ufanisi mkubwa.

Viongozi hao pia wametoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali kwa kulipa kodi na ushuru mbalimbali kwa hiari, wakisisitiza kuwa maendeleo haya yanatokana moja kwa moja na mapato yanayokusanywa kutoka kwao. Kwa ushirikiano huu, Kyela inaendelea kuwa mfano wa Halmashauri inayojitegemea na kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wake

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAPATO YA NDANI YAIWEZESHA KYELA KUNUNUA MTAMBO WA KISASA WA KUTENGENEZEA BARABARA

    June 22, 2025
  • MKUU WA MKOA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA KWA KUFIKISHA BILIONI 8.7 SAWA NA ASILIMIA 125% KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 17, 2025
  • MAADHIMISHO YA MTOTO WA AFRIKA YAFANA WILAYANI KYELA

    June 16, 2025
  • VIVUTIO MBALIMBALI VINAVYOPATIKANA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    June 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa