• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MASHINDANO YA UMISSETA NGAZI YA WILAYA YAFUNGULIWA RASMI WILAYANI KYELA

Imewekwa Kwenye: February 22nd, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Bi.Lydia Herberty amezindua mashindano ya UMISSETA ngazi ya Wilaya katika Uwanja wa Kipija Arena tarehe 22.02.2024.

Akizindua mashindano hayo Kaimu Mkurugenzi amesema Michezo ni sehemu ya ajira pamoja na Kuimarisha Afya hivyo amewataka Wachezaji wanaoshiriki Michezo hiyo kufanya juhudi zaidi ili waweze kufikia malengo yao.

Aidha Kaimu Mkurugenzi amewasihi wanafunzi hususani washiriki wa Michezo kufuata maelekezo wanayopewa na Walimu wao wa Michezo ili waweze kupata ushindi utakaowawezesha kushiriki UMISSETA ngazi ya Mkoa na Taifa.

Akizungumza kwa niaba ya Wah. Madiwani Mhe. Gwakisa Mwakipesile amemshukuru Nabii Sanga kwa kudhamini mashindano hayo yenye tija katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela kwani kupitia Mashindano hayo Wanafunzi wanapata fursa ya kuimarisha afya Pamoja na kujenga urafiki baina yao.

Kwa upande wake Mdhamini wa Mashindano ya UMISSETA ngazi ya Wilaya Nabii Sanga ameahidi kutoa zawadi mbalimbali kwa washindi ikiwemo Fedha Taslim, Ng'ombe,Jezi pamoja na traki suti ili kuhamasisha kufanya vizuri zaidi kwa ngazi ya Mkoa na Taifa.

Vilevile Afisa Michezo Wilaya ya Kyela Ndg. Zephania Jumbe amewaomba Walimu wa Michezo wa shule zote kujenga ushirikiano mzuri baina yao ili waweze kupata timu bora ya Wilaya itakayokwenda kuwakilisha na kushiriki mashindano ya UMISSETA ngazi ya Mkoa.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • DED KYELA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI KATA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UTENDAJI KAZI NA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA

    April 10, 2025
  • DC KYELA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUANZIA JULAI HADI DESEMBA 2024

    March 29, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

    March 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa