• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mfuko wa Bima ya Afya CHF Mpya, iliyoboreshwa Kuwafaidisha Wananchi Kyela

Imewekwa Kwenye: May 7th, 2018

Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, imeanza kutoa mafunzo ya bima ya afya (CHF) iliyoboreshwa Kwa mda wa siku tatu kwa wafanyakazi wa Afya zaidi ya 130.

Wafanyakazi hao ni pamoja na Wauguzi wa zahanati, wenyeviti wa uendashaji wa vituo, waganga wafawidhi wa kila kituo na mjumbe mmoja wa Afya kutoka kila kituo cha Afya.

Akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi ndugu F. Mwaipopo amesema, mafunzo haya yanalengo ya kutoa mafunzo kwa watumishi wa Afya, ili waweze kutoa elimu kwa umma na Wananchi kwa ujumla juu ya mfuko wa bima ya Afya iliyoboreshwa.

Aidha Kaimu Mkurugenzi alisema Selikali ya awamu ya tano imeamua kutoa mafunzo haya, ili kuwajengea uwezo watumishi wa afya ambao kwa sasa watapokea fedha za uendashaji wa mfuko huu moja kwa moja katika vituo vyao vya afya na zahanati, ikiwa ni tofauti na njia ya upokeaji fedha katika hospitali ya wilaya. 

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu Dr. Marium Ngwere amesema, watumishi wa Afya watajifunza maswala ya upangaji bajeti, usimamizi wa fedha, kufanya tathimini ya fedha na kufanya maboresho ya changamoto ya bima ya zamani.

Aidha bima ya afya (CHF) iliyoboreshwa itamsaidia mteja kupata huduma za kiafya ndani ya Mkoa. Ikiwa ni tofauti na bima ya mwanzo ambayo mteja aliruhusiwa kupata huduma za kiafya ndani ya wilaya tu.

Hivyo basi Serikali imeona ni vema kutoa elimu kwa watumishi wake, na elimu hiyo isadie katika kutoa huduma bora za bima ya afya iliyoboreshwa.

Mwisho kaimu Mkurugenzi alifungua mafunzo hayo kwa wataalamu, pia alimuagiza Kaimu mganga Mkuu kutoa taarifa kwa wajumbe wote ambao hawata hudhulia. 

Ili aweze kuwabaini na kujua chanzo cha kuto kuhudhulia mafunzo hayo na hatua za kinidhamu kuchukuliwa kwa watakaobanika kukaidi mafunzo hayo.




Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa