• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MHE. JUMA ZUBERI HOMERA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI WILAYANI KYELA

Imewekwa Kwenye: March 7th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameongoza maadhimisho ya siku ya Mwanamke duniani ambayo katika Mkoa wa Mbeya yamefanyika Halmshauri ya Wilaya ya Kyela kiwanja cha Kipija Arena tarehe 7.3.2025.

 Miongoni mwa waliohudhuria maadhimisho hayo ni pamoja viongozi wa Halmshauri mbalimbali za Mkoa wa Mbeya,Wanawake na Wasichana wa Taasisi na Idara, Wanafunzi, Wananchi wa Wilaya tofauti ndani ya Mkoa wa Mbeya.

Maadhimisho hayo yamesindikizwa  na vikundi mbalimbali vya burudani ikiwemo vikundi vya nyimbo, vikundi vya ngoma,pamoja na mitindo ya mavazi ya aina tofauti.

Akizungumza katika maadhimisho hayo.

Mhe.Homera

amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwajali wanawake na kuwaletea mradi wa jengo la mama na mtoto  linalosaidia kupunguza vifo vya mama na mtoto.

 Mhe. Juma Zuberi Homera amewapongeza wanawake na waliohudhuria sherehe hiyo,pia amewataka kutumia siku hiyo kwa kutiana hamasa katika shughuli mbalimbali zitakazowainulia kipato.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amewaasa wanawake kuwa na ushirikiano mzuri na wenza wao hususani katika malezi na misingi iliyo bora ili kujenga na kuandaa kizazi imara kwa maslahi Taifa hapo baadae.

Aidha, Mhe.Homera amewataka wanawake kuondokana na adha inayosema" WANAWAKE WAKIWEZESHWA WANAWEZA"na kutumia kaulimbiu inayosema WANAWAKE NA WASICHANA 2025 TUIMARISHE HAKI USAWA NA UWEZESHAJI.

Awali Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Kyela Josephine Manase amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mikopo ya 10% inayosaidia wanawake wengi kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Kyela Josephine Manase amesema maadhimisho hayo ni chachu ya  kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanyika na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan pia ni  fursa ya kubadilishana kupata mawazo mapya yatakayosaidia wanawake hao kujijenga kiuchumi.

Kaulimbiu "WANAWAKE NA WASICHANA 2025 TUIMARISHE HAKI USAWA NA UWEZESHAJI."

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

    June 10, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA WASICHANA KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    June 09, 2025
  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa