• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mheshimiwa Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Atembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: May 28th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, leo tarehe 28/05/2024, amefanya ziara ya kutembelea na kukagua, miradi ya maendeleo katika kata ya Nkokwa na Busale.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ameongozana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Kyela, pia baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka halmashauri.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa shule ya Kokoa Girls na Mradi wa shule ya wasichana ya Mkoa wa Mbeya katika kata ya Busale.

Akiwa katika kata ya Nkokwa Mhe. Mkuu wa wilaya, amewataka wanaNkokwa kusimamia mradi wa shule ya Kokoa Girls, kwa nguvu zote ili kuhakikisha mradi unatekelezwa na unakamilika kwa wakati.

Amewataka viongozi kushikamana ili kuijenga kata yao, Pia kuleta maendeleo yenye tija. Pamoja na hayo, amewaomba viongozi kuwashirikisha wananchi ili waweze kusaidiana katika kukamilisha mradi, vilevile amezitaka kamati zinazohusika na ujenzi kuhakikisha vifaa vyote vya ujenzi vinapatikana kwa wakati ili kutokukwamisha maendeleo ya mradi.

Aidha amemtaka mtendaji kata, kutoa taarifa kwa wananchi, ikiwemo taarifa za mipango za uendelezaji wa kata, pia kutoa taarifa ya mapato na matumizi ya miradi yote inatekelezwa katika kata yao.

Nae diwani ya kata ya Nkokwa Mhe. Luka Mwakitalu amemshukuru Mhe. Mkuu wa wilaya kwa kutembelea mradi wa shule ya Kokoa Girls, kwani ujio wake umeongeza chachu ya kutekeleza mradi kwa kasi kubwa.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa