• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mheshimiwa Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Ziara Katika Ujenzi Wa Vyumba Vya Madarasa

Imewekwa Kwenye: December 29th, 2020

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono amefanya ziara katika shule za Sekondari Kyela na Makwale, kwa lengo la kukagua na kujua changamoto za ujenzi wa madarasa, ziara hii imefanyika tarehe 28/12/2020 hapa wilayani Kyela.

Aidha katika kutembelea madarasa hayo Mwenyekiti aliweza kufanya vikao vifupi na wadau wa maendeleo katika maeneo hayo.

Akiwa katika kikao katika shule ya sekondari Nyasa amesema, anaishukuru kampuni ya ununuzi wa kakao Bioland na Kim's chocolate, kwa mchango wao wa dhati na hata kusababisha  madarasa haya yanajengwa kwa kasi kubwa.

Pia aliwaomba wenyeviti na madiwani husika katika kata kutoka na kwenda kwa wananchi kuomba michango ili kufanikisha ujenzi huu wa madarasa, kwani wao kama viongozi wamejipanga katika kuwatumikia na kufanya kazi kama timu ili kuibadili wilaya ya Kyela kimaendeleo.

Mheshimiwa mwenyekiti amewaambia wadau wa maendeleo kuwa, Kyela tumekuwa nyuma sana katika kuchangia vitu vya msingi, kwa sasa ni vizuri kujenga utamaduni wa kushirikiana na kuchangia maendeleo kwa kila kata , kwani madarasa na maendeleo ya miundo mbinu hii itatumika na wanafunzi wanaotoka hata nje ya kata hizi na sehemu mbalimbali za nchi kuja kusoma hapa Kyela.

Nae katibu wa mbunge wa jimbo la Kyela ndugu Edga Mwasamlagila, amesema ni vizuri kwa awamu inayokuja tusikimbizane mwishoni kwa ujenzi wa madarasa ni vyema kujiandaa mapema, Kwani ofisi ya Mbunge ipo bega kwa bega na wnanchi katika ujenzi wa madarasa wakati wowote.

Shule ya sekondari Kyela kwa sasa wapo katika ujenzi wa vymba vitatu vya madarasa ikiwa ni kupunguza uhaba wa vyumba saba vinavyotakiwa kujengwa, na shule ya sekondari Makwale wao wanajenga vyumba vinne vya madarasa.

Mwisho viongozi waliwapongeza walimu kwa kazi nzuriJuhudi za walimu tumeziona na ndio maana kuna ongezeko la ufaulu mzuri.


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa