• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miaka Mitatu Ya Mama Samia Twende Kazi Kwa Pamoja

Imewekwa Kwenye: March 29th, 2024

Shukrani Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa  miaka yako 3  Wanakyela tumeyaona mengi kutoka kwako;

Tumepokea shilingi 6,018,180,028 kupitia Idara ya Elimu Sekondari  fedha zilizotumika kujenga madarasa 81, shule 2 mpya, lakini pia tunaendelea na ujenzi wa shule 1 kubwa ya kidato cha I hadi VI, kukarabati maabara katika shule 4, umaliziaji wa maboma ya madarasa na kujenga nyumba za walimu. Tumefanikiwa kuongeza shule 6  kutoka idadi ya shule 22 hadi 28, ambapo zaidi ya wanafunzi 1528 wamepeta nafasi ya kuendelea na masomo hali ambayo bila shule hizo idadi ya wanafunzi 1528 huenda wangekosa nafasi ya kuendelea na masomo.

Vilevile Mheshimiwa Rais ametupa kiasi cha shilingi 2,292,424,000 kupitia Idara ya Elimu msingi ambazo zimejenga shule 2 mpya za msingi madarasa 98 baadhi yake yamejengwa upya na mengine yamekarabatiwa, matundu 95 ya vyoo, bweni, vituo vya walimu katika kata 4, na kuwasaidia wanafunzi 5915 kuendelea na masomo pamoja na ongezeko la ajira kwa walimu.

Aidha katika Idara ya Afya tumepokea 4,850,000,000 fedha zilizojenga zahanati 3 mpya, kituo cha afya 1, Jengo la ghorofa kwa matumizi ya Mama na mtoto jengo linalojengwa  katika Hospitali ya wilaya, vifaa tiba, nyumba ya watumishi wa 3, Maendeleo haya yamekwenda kusaidia zaidi ya wananchi 6915 kupata huduma bora za afya  ndani ya wilaya ya Kyela.

Aidha shilingi Bilioni 20.9, tumepewa kwa ajili ya mradi wa umwagiliaji wa skimu ya Makwale, ikiwa jumla ya shilingi 66,287.028 tumepokea na kuanzisha mradi wa kupanda miche ya chikichi na kakao ambapo wananchi wilayani Kyela wananufaika kwa kugawiwa miche bure, fedha hizo pia zimesaidia kuanzia shughuli ya utotoleshaji wa vifaranga vya samaki na utoaji wa chanjo kwa mifugo ya wananchi.

Pamoja na hayo shilingi Bilioni 6.7 tumepewa ili kusaidia kutengeneza na kurekebisha miundombinu ya barabara, ambapo kwa sasa tunazo barabara za lami hadi katikati ya mji wetu wa Kyela, ikiwa ni pamoja na kufungua barabara za vijijini na kumfanya Mwanakyela kufunguka katika shughuli za kujipatia kipato na kukua kiuchumi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa