• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miti 70,000 Yapandwa Katika Maadhimisho Ya Miaka 62 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: December 8th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase akipanda mti ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mheshimiwa Josephine Manase ameshiriki katika zoezi la upandaji miti, tarehe 08/12/2023, katika viwanja vya shule mpya ya Ibanda sekondari ikiwa ni maadhimisho ya sherehe za miaka 62 za Uhuru wa Tanzania Bara.

Akiwa katika zoezi la upandaji miti Mhe. Mkuu wa wilaya, amewataka wananchi kuendelea kumuomba mwenyezi Mungu ili aendelee kuilinda amani tuliyonayo na kuishi kwa upendo tulionao kama waasisi walivyotuachia amani ya kweli katika nchi yetu.

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Bi. Frolah Luhala akipanda mti katika eneo la shule ya mpya ya sekondari Ibanda.

Amesema pamoja na kazi ya kupanda miti ambayo inaacha alama ya kuadhimisha siku ya Uhuru wa Tanzania Bara, pongezi nyingi zimetolewa kwa kamati ya usimamizi wa mradi wa shule ya sekondari Ibanda kwa usimamizi mzuri na kumaliza mradi kwa wakati.

Aidha amewapongeza wanaIbanda kwa kujitoa katika kufanya kazi mbalimbali kwenye mradi wa shule mpya ya sekondari Ibanda.

Amewataka wananchi wa kata ya Ibanda kurudisha fadhira na kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwani ameupiga mwingi katika kutuletea fedha nyingi zinazotekeleza miradi ya maendeleo katika wilaya yetu.

Pia ametoa pongezi nyingi kwa Mkurugenzi Mtendaji Bi. Frolah Luhala na timu yake kwa usimamizi mzuri wa mradi wa shule ya Ibanda.

Wilaya ya Kyela umetekeleza maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru Tanzania bara kwa kufanya usafi wa mazingira pamoja na kupanda miti isiyopungua 70,000.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa