• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Atembelea Miradi Ya Ujenzi Wa Vyumba Vya Madarasa Kyela.

Imewekwa Kwenye: November 4th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kyela akiwa katika mradi wa ujenzi wa darasa katika shule ya sekondari Kajunjumele.

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Ndugu Ezekiel H. Magehema amefanya ziara ya kutembelea miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, ziara iliyofanyika tarehe 05/11/2021, miradi inayotekelezwa na pesa ya UVIKO 19 iliyoletwa na Serikari ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania ili kupunguza upungufu wa vyumba vya madarasa hapa wilayani Kyela.

Fundi ujenzi akiwa kazini katika ujenzi wa chumba cha darasa katika shule ya sekondari Kajunjumele.

Akiwa katika ziara yake, Ndugu Magehema amepata fulsa ya kukagua baadhi ya miradi ikiwemo, mradi wa chumba 1 cha darasa katika shule ya sekondari Kajunjumele, Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Ngonga, ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa katika shule ya sekondari Ikolo, pamoja na ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Ngonga.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji amewataka wasimamizi ngazi ya kata kuandika na kutunza vizuri nyaraka zote zinazotumika katika zoezi zima  la ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo.

Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Ezekiel H. Magehema(tisheti ya bluu) akibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi wasimamizi wa ujenzi katika shule ya sekondari Ikolo.

Pia amewataka viongozi wasimamizi kuwahimiza mafundi ili kukimbizana na muda uliopangwa kea ajiri ya ukamilishaji wa miradi hiyo. Pamoja na hayo amekumbusha suala la kufuata taratibu za manunuzi ya vifaa vya ujenzi na alitoa pongezi kwa kasi inayokwenda kwa baadhi ya miradi inayoendelea.

Mkurugenzi Mtendaji akiwa katika mradi wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya sekondari Ngonga.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa