• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KYELA Adv FLORAH A. LUHALA AONGOZA TIMU YA MENEJIMENT YA KAMATI YA ELIMU NA AFYA KUKAGUA MIRADI.

Imewekwa Kwenye: July 28th, 2025

Kamati ya Elimu na Afya imekagua Miradi ya maendeleo tarehe 28/07/2025,Miradi iliyokaguliwa na Wataalamu hao ni Zahanati ya Nkuyu,Zahanati ya Ngana, Nyumba Moja Kwa mbili(Two in One) ya Walimu katika Shule ya Sekondari Ibanda na Ujenzi wa Nyumba za watumishi na ukamilishaji wa Madarasa katika Shule ya Wasicha Mbeya girls iliyopo Kata ya Busale.

Katika ukaguzi huo Mkurugenzi Mtendaji Adv Luhala amemuagiza Afisa Mtendaji wa Kata ya Nkuyu kuhakisha Zahanati ya Nkuyu inakamilika Kwa wakati.Hakuna sababu ya kuchelewesha mradi maana fedha ya mapato ya ndani ipo imetengwa Million 30 za kumalizia shughuli ya ujenzi.(Alisema Adv Luhala)

Aidha Adv Luhala kwenye mradi wa Nyumba Moja Kwa mbili alimuagiza fundi kukamilisha Nyumba hiyo kwani Kila kitu kipo. Kupitia mapato kutoka Serikali Kuu kiasi Cha Shilingi Million Mia Moja (100) zimeletwa Kwa mpango wa Mradi wa SEQUIP.

Ujenzi wa Shule ya Wasichana Mbeya(Mbeya girls) awamu ya pili,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kyela Adv Florah A.Luhala,ameridhishwa na idadi ya Mafundi aliowakuta wakiendelea na kazi katika Mradi huo.

Adv Luhala amewaambia mafundi hao wamalizi kazi walizopewa Kwa wakati sahihi na Kwa ubora unaokubalika,Awamu hii ya pili hapa kupitia Mradi wa SEQUIP Serikali ya Mama imeleta Billion Moja na Million mia Moja(1,100,000,000) ( Alisema Adv Luhala)

Aidha aliendelea kuambia mafundi waendelee kufanya kazi Kwa juhudi na Ubora unaokubarika,ili waendelee kuaminiwa na kupewa kazi nyingine kwani Serikali ya awamu ya sita imeleta fedha nyingi za Miradi,hivyo fundi atakaefanya kazi vizuri atapewa Miradi mingine.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA MWAKA WA IDARA YA AFYA NA LISHE WAFANYIKA WILAYANI KYELA

    August 01, 2025
  • DED KYELA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUZINGATIA USAFI WA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

    July 29, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KYELA Adv FLORAH A. LUHALA AONGOZA TIMU YA MENEJIMENT YA KAMATI YA ELIMU NA AFYA KUKAGUA MIRADI.

    July 28, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa