• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Kikao Kazi Na Watumishi Ili Kusikiliza Kero Zao

Imewekwa Kwenye: March 17th, 2023

Mkurgenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, ndugu Ezekiel H. Magehema amefanya kikao kazi na watumishi wote wa halmashauri ya wilaya ya Kyela lengo kubwa ni kutaka kusikiliza kero za watumishi hao na kuzipatia ufumbuzi. 

Kikao hicho cha wafanyakazi kimefanyika leo tarehe 17/03/2023, katika ukumbi wa mikutano, Na kimejumuisha watumishi kutoka kila Idara ikiwa ni pamoja na wale wanaotoka katika kata na vijiji.

Pamoja na mambo mengi aliyoyaongea pia, Mkurugenzi mtendaji amewasisitiza watumishi wote kuheshimu kazi, Ikiwa ni pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo, kuwaheshimu watumishi wanaowaongoza.

Aidha amewataka watumishi, kuwa na bajeti nzuri ya matumizi ya mshahara wanaoupata, Pia amewaonya watumishi kuachana na ulevi na anasa zisizo na maana ili kijiletea maendeleo chanya.

Kwa upande wao watumishi wameweza kuuliza kuhusiana na upandishwaji wa madaraja ya mishahara pamoja na ulipwaji wa madeni, ambapo majibu yametolewa kwa ufasaha ndani ya kikao hicho.

Mwisho amewataka wakuu wa Idara na Vitengo kuendelea kuzipokea kero na kuwasikiliza wasaidizi wao punde wanapowahitaji ili kuongea nao katika ofisi zao ili kuleta mahusiano bora katika kazi.

Akitoa neno la shukrani Afisa kilimo Eng. Arnod Bachubila amemshukuru mkurugenzi mtendaji kwa kufanya kikao cha wazi na watumishi, lakini pia ameshirikisha vyama vya wafanyakazi na kuweka mambo yote bayana, ambapo kila Mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya Kyela amepata mwangaza wa kila alichotaka kukisikia kutoka kwa viongozi wake.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili April 18, 2023
  • Ajira Ajira Ajira April 18, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Matokeo Kidato Cha Nne Mwaka 2022 January 29, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Awataka Wananchi Kata Ya Makwale Kuishi Kwa Upendo

    May 19, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Awataka Wananchi Kata Ya Makwale Kuishi Kwa Upendo

    May 19, 2023
  • DC Awataka TANESCO Kutoa Elimu Ya Matumizi Ya Simu Kuunganishwa Na Huduma Ya Umeme

    May 16, 2023
  • Wauguzi Watakiwa Kuwa Na Lugha Rafiki Kwa Wagonjwa

    May 13, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0756944794

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa