• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA MWAKA WA IDARA YA AFYA NA LISHE WAFANYIKA WILAYANI KYELA

Imewekwa Kwenye: August 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase ameongoza mkutano wa mwaka wa Idara ya  Afya na Lishe katika ukumbi wa Palazo uliopo Kata ya Matema tarehe 31.7.2025.

Lengo la mkutano huo ni kufanya tathimini ya kazi Kwa mwaka uliopita,kuonesha mafanikio na changamoto zilizopatikana pamoja na kuweka mikakati ya kuboresha huduma za Afya na kuhakikisha mwananchi anapata huduma bora.

Mkutano huo umeambatana na ugawaji tuzo kwa viongozi wa Afya, Kata zilizofanya vizuri katika usafi, vituo vya afya vilivyofanya vizuri kwenye afua za Afya pamoja na kutoa shukrani kwa wadau mbalimbali wa Afya.

Akifungua mkutano  Mhe .Manase ,amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha miundombinu ya Afya, kama ujenzi wa zahanati na vituo vya afya  ili kuhakikisha  Wananchi wanapata huduma ya Afya wakati wowote.

Sambamba na hayo Mkuu wa Wilaya amewataka viongozi ngazi ya Kata  kutoa Elimu kwa Wananchi juu ya  umuhimu wa vyoo na namna ya kujikinga na magonjwa ya mlipuko pamoja na kutoa takwimu  za usafi wa mazingira kwa wataalamu wa Afya.

Mhe.Manase amewaasa wafawidhi kutumia mfumo tangu anapofika mgonjwa kutibiwa hadi mwisho wa Matibabu yake, pia amewaagiza wafawidhi hao kuwa ifikapo tarehe 30/08/2025 wote wawe wanatumia Mfumo katika kutoa huduma za Matibabu.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA MWAKA WA IDARA YA AFYA NA LISHE WAFANYIKA WILAYANI KYELA

    August 01, 2025
  • DED KYELA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUZINGATIA USAFI WA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

    July 29, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KYELA Adv FLORAH A. LUHALA AONGOZA TIMU YA MENEJIMENT YA KAMATI YA ELIMU NA AFYA KUKAGUA MIRADI.

    July 28, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa