• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Mkoa Wa Mbeya Awaweka Ndani Waliotafuna Milioni 441 Za WaKulima Wa Kakao Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: July 20th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameongoza kikao  cha upotevu wa kokoa  zilizohifadhiwa katika ghala la Kyela, kampuni ya Golden traders  kilochofanyika ukumbi  wa mikutano wa Halmashauri tarehe 19/7/2024.

Kikao hicho kimehudhuriwa na kamati ya Ulinzi na Usalama ngazi ya mkoa na wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri,wataalamu mbalimbali ngazi ya wilaya na mkoa pamoja na  wadau wa kokoa  kampuni ya Mohamed enterprises, Golden traders.

Katika kikao hicho Mhe. Mkuu wa Mkoa amebaini upotevu wa gunia 252, za kokoa  zenye thamani ya Tsh. milioni 441 zilizohifadhiwa  ghala la Kyela mjini, linalomilikiwa na  kampuni ya Golden trader kupitia  mashindano ya mnada wa 3 uliofanyika tarehe 15/7/2024.

Aidhaa Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa suluhu juu ya tukio hilo kupitia tamko la Mhe. Waziri wa kilimo Hussein Bashe, ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua za kisheria na kufanya uchunguzi wa kina  kwa viongozi juu ya miamala  iliyotumika  kwa wakati huo.  Ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi.

Vilevile Mhe. Mkuu wa Mkoa ameiagiza kampuni ya Golden trader kupatikana kwa fedha hiyo ndani ya siku ya saba kuanzia tarehe 19/7/2024 na kutoa taarifa ofisi ya Mhe. Mkuu wa wilaya pindi fedha hiyo itakapopatikana.

Pia Mhe. Mkuu wa mkoa amewataka Golden trader kusimamisha taratibu za zabuni ya kokoa mpaka pale watakaporidhia kutoa ruhusa kwa mara nyingine.

Aidhaa Mhe. Mkuu wa mkoa ameomba kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Kyela kwa kushirikiana na kamati ya Usalama ngazi ya mkoa kuendelea kusaidia uimarishaji wa ushirika ndani ya wilaya ili kusaidia wananchi hususani wakulima kupata stahiki zao.

Kwa upande wake Mhe. Mkuu wa wilaya Josephine Manase ameipongeza kampuni ya Mahamed enterprises ikiwemo mnunuzi wa kokoa wa kampuni hiyo kwa ukaguzi na usimamizi mzuri wa kampuni yao  kuweza kubaini tatizo hilo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa