• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Mkoa Wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera Amekamilisha Ziara Yake Wilayani Kyela Kwa Kukagua Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: October 12th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera amekamilisha ziara yake ya siku 3 wilayani Kyela tarehe 11/10/2023.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amekagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Ibanda kata ya Ibanda, mradi wa ujenzi wa shule mpya ya wasichana ya mkoa inayojengwa katika kata ya Busale pia amekagua mradi wa maji lema katika kata ya Busale.

 Akikamilisha ziara yake ya siku 3 wilayani Kyela, Mhe. Mkuu wa Mkoa ameagiza majengo ya shule mpya ya Sekondari Ibanda kumalizika kwa wakati ili wanafunzi waanze kusoma katika shule hiyo.

Amewataka viongozi kusimamia mradi wa shule ya Ibanda na amesema kufikia tarehe 11/11/2023 shule ifunguliwe.

Amemtaka Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase akishirikiana na Mhe. Mbunge wajimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe pamoja na ofisi ya TARURA, kukaa na mkandarasi anaetengeneza barabara ya junction Kiwira Port, kusaidia kuchonga barabara hadi katika shule mpya ya sekondari Ibanda.

Hata hivyo Mhe. Mkuu wa mkoa ametoa maagizo ya kusimamia miradi ya maendeleo usiku na mchana ikiwemo usimamizi wa shule mpya ya wasichana ya mkoa inayojengwa katika kata ya Busale ili iweze kukamilika kwa wakati.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Kyela Mheshimiwa Josephine Manase, ametoa shukrani zake za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutuletea fedha ambazo zinasaidia katika utekelezaji wa  miradi wilayani Kyela.

Pamoja na shukrani hizo Mhe. Mkuu wa wilaya ameyapokea maagizo yote aliyoyaangiza Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera na kuahidi kuyafanyia kazi kwa wakati.

Awali Mbunge wa jimbo la Kyela Mhe. Ally Mlaghila Jumbe ametoa shukrani kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha ambazo zinawezesha utekelezaji wa ujenzi wa miradi mbalimbali zikiwemo shule za sekondari na msingi.

Pia  ameomba ulinzi na utunzaji mzuri wa vifaa vinavyonunuliwa kwaajili ya ujenzi, ili kuyafanya  majengo yetu kukamilika yakiwa imara na yenye ubora.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. kingamkono, ametoa pongezi kwa mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Na amemuahidi Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwamba, atashirikiana na viongozi wengine wa wilaya katika kusimamia miradi yote na kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati.

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kyela, Bi. Florah A. Luhala amepokea maagizo yote yaliyotolewa na Mhe. Mkuu wa mkoa na kuahidi kuyatekeleza kwa wakati.
Mwisho

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa