• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Asikiliza Kero Kwa Wananchi WA Kata Ya Matema

Imewekwa Kwenye: October 21st, 2019

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Claudia U. Kitta amefanya mkutano na wananchi wa kijiji cha matema,  kata ya Matema leo tarehe 21/10/2019, katika viwanja vya ofisi ya  kata hiyo.

lengo la kufanya mkutanao huo ni kutaka kuwasikiliza wananchi kero zao, Katika mkutano huo, Mkuu wa wilaya aliwasikiliza wananchi hao ambao walihitaji kufahamu matumizi ya fedha za michango yao.

Aidha wananchi walitoa kero zao, ambazo zilimtaka mtendaji wa kata hiyo ndugu Edsoni Rugalabama, kutoa ufafanuzi wa matumizi ya fedha shilingi milioni 4,190,000/=, ambazo zilichangwa na wananchi hao. 

Akitoa maelezo juu ya pesa hizo, mtendaji huyo alionekana kutokuwa na maelezo mazuri, ambayo yalimpekea kutoaminika na viongozi pamoja na wananchi wake. 

Hata hivyo ndugu Edson Rugalabama, amekili kukaa na pesa zaidi ya miezi 6,  kiasi cha shilingi milioni 1,740,000/=, ambazo ni tozo za faini mbalimbali zinazotozwa na mtendaji huyo kutoka kwa wananchi kwa makosa tofauti tofauti. 

Kwa upande wake mtendaji wa kijiji hicho ndugu Neson Mwafingulu, alitoa ufafanuzi wa jinsi alivyokuwa akiwasiliana na mtendaji wa kata, ili aje kutoa ufanunuzi wa taarifa ya matumizi ya shilingi 4,190,000/=, na bakaa ya shilingi 1,44,000/= Na matumizi hayo hayakuwa na ushirikishwaji wa aina yoyote wala kuwa na ufafanuzi wa matumizi ya pesa hizo. 

Hata hivyo jitihada zake ziligonga mwamba, na taarifa hiyo haikuweza kufikishwa kwa wananchi kwa muda walioitaka taarifa hiyo, na kuamua kufikisha kero yao kwa Mkuu wa wilaya ya Kyela. 

Baada ya wananchi kutoa kero zao, Mkuu wa wilaya ya Kyela aliwatuliza wananchi hao, waliokuwa na hasira kubwa, na kutoa maamuzi ya kumchukua mtendaji wa kijiji hicho ndugu Nason Mwafingulu, pamoja na mtendaji wa kata hiyo ndugu Edson Rugalabama na kuwafikisha katika kituo cha polisi, kwa maelezo zaidi. 

Mwisho Mkuu wa wilaya aliagiza wakaguzi kwenda katika kata hiyo, na kufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha hizo. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa