• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Afanya Ziara Ya Kusikiliza Kero Za Wananchi

Imewekwa Kwenye: May 31st, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela  Mhe. Josephine Manase amefanya ziara  ya kusikiliza kero za wananchi katika kata ya Ngana tarehe 30/05/2024.

Katika ziara yake, Mhe. Mkuu wa wilaya, ameambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri Bi. Florah Luhala akiwa na baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo, pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za serikali.

Akizungumza na wakazi wa kata hiyo, Mhe. Josephine Manase, ameitaka kamati ya maendeleo  kata ya Ngana kusimamia matumizi mazuri ya fedha, ili kukamilisha miradi mbalimbali iliyopo katika kata ya Ngana, pia amewaomba wananchi kuendeleza ushirikiano wao na serikali  ili kuhakikisha shughuli za maendeleo zinafanyika na kukamilika kwa wakati.

Akijibu kero, ikiwa ni pamoja na  Wananchi kutosomewa mapato na matumizi, ubovu wa  miundombinu kwa baadhi ya maeneo, ushuru kwa wakulima, Mhe. Josephine amesema;

Kero hizo zinafanyiwa kazi na  kuomba wananchi kuwa wavumilivu, kwani kuna baadhi ya kero zitatatuliwa na serikali mara baada ya kupita kwa msimu wa mvua ikiwemo kero ya daraja katika kijiji cha ushirika.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela  Bi. Florah A. Luhala, ameahidi kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili wananchi hao, ikiwemo ujenzi wa choo soko la Kasumulu, Suala la maji  katika  shule ya msingi Kasumulu, na kuwaomba wananchi kuwa na uangalizi mzuri wa fedha za miradi zinazotolewa na serikali.

Sambamba na hayo Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Kyela, amemaliza kwa kuwaomba wananchi kutunza mazingira ili kuepukana na hali ya jangwa, kupitia athari za ukataji wa miti hovyo  ikiwa ni kuendeleza jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, anaetutaka tutunze mazingira kila siku na kuzingatia matumizi ya nishati Safi.

Mwisho...........

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa