• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Ataka Mashamba Ya shule Kutumika Kulima Mazao Ya Chakula Kuwasaidia Wanafunzi

Imewekwa Kwenye: July 31st, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, ameongoza kikao cha tathmini ya mkataba wa lishe ngazi ya wilaya leo tarehe 31/07/2024, katika ukumbi wa Hospitali ya wilaya.

Akiwa katika kikao hicho Mhe. Mkuu wa wilaya amewapongeza watendaji kwa kuendelea kutoa hamasa ya lishe kwenye kata zao, na amewataka watendaji waige kwa wengine ambao wanafanya vizuri katika suala la lishe ili kutokomeza hali duni ya lishe katika wilaya yetu.

Aidha amesema kwa sasa suala la lishe wilayani Kyela inaendelea vizuri, na tutaendelea na kampeni ya lishe sababu kampeni hii ni kwa Taifa zima.

Amesema, kwa mtendaji yeyote atakaefanya vizuri siku ya lishe, na atakaetoa rangi nyekundu katika "score card" atatoa zawadi kwa watendaji 3 ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji.

Aidha Mhe. Mkuu wa wilaya amesema ni lazima tushirikiane kwa pamoja kuimba kampeni ya lishe, ili kumuunga mkono Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kuzakisha  kizazi bora katika nchi yetu.

Pamomja na hayo Mhe. Mkuu wa wilaya amewakumbusha walimu kutumia mashamba ya shule kama yapo kulima mazao ya chakula, yatakayowasaidia wanafunzi kupata chakula na si vinginevyo.

Pia amewataka watendaji wa kata na vijiji, kuendelea kutunza amani iliyopo katika kuelekea zoezi la uchaguzi, amesema, kila mtendaji wa kata ajue takwimu ya watu wake katika eneo lake ili kuondoa mamluki katika zoezi zima la uchaguzi.

Awali Afisa lishe (W), ndugu Allen Mutalemwa Binamungu, alitambulisha wiki ya unyonyeshaji duniani, kwa wajumbe wa kikao. Ambayo ni tarehe 1-7 Agosti 2024. Na kauli mbiu katika wiki ya unyonyeshaji ni "ZIBA PENGO, WEZESHA UNYONYESHAJI KWA WOTE".

Aliongeza kwa kutaja faida za kuwanyonyesha watoto maziwa ya mama na mbinu za kuhakikisha watoto wananyonyeshwa maziwa ya mama bila vikwazo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa