• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Awataka Wanakyela Kuendelea Kudumisha Amani Tuliyonayo

Imewekwa Kwenye: June 28th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza kero za wananchi kata ya Ipyana na kata ya Ikolo  tarehe 27/06/2024.

Katika ziara yake Mhe. Mkuu wa wilaya ameambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya,  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri  Dkt. Saumu Kumbisaga, wakuu wa Idara na Vitengo, pamoja na taasisi mbalimbali za Serikali.

Aidhaa Mhe. Mkuu wa wilaya ameishukuru serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha zinazosaidia kuanzisha na kuboresha  miradi mbalimbali katika wilaya ya Kyela.

Baadhi ya kero zilizosikilizwa ni pamoja na ujenzi wa shule ya sekondari kata ya Ipyana, pamoja na changamoto ya ushuru kwa wakulima wadogo wa mpunga kata ya Ikolo.

Kwa upande wa kero ya ushuru kwa wakulima wa mpunga, Mhe. Mkuu wa wilaya amewataka wakulima kuchukua vibali kutoka  kwa watendaji wa kata, vitakavyowasaidia kusafirisha mazao yao kutoka shambani bila usumbufu.

Pia amewaomba viongozi wa kata ya Ipyana kufanya vikao na wananchi ili waweze kutoa taarifa za mapato na matumizi ya michango inayotolewa na wananchi kwa ajili ya shughuli za maendeleo ya miradi.

Aidhaa Mhe. Mkuu wa wilaya, amemaliza kwa kuwaomba viongozi wa kata hizo ikiwemo  Wahe. Madiwani na Wenyekiti wa vitongoji kuondoa migogoro ya kisiasa baina yao, hasa tunapo elekea katika kipindi hiki cha uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa.

Aidha amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao katika daftari la kudumu la mpiga kura ili kuepusha usumbufu wakati wa uchaguzi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa