• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Awataka Wananchi Kata Ya Makwale Kuishi Kwa Upendo

Imewekwa Kwenye: May 19th, 2023

Akijibu kero za wanananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Makwale tarehe 18/05/2023, Mkuu wa wilaya ya Kyela, Mheshimiwa Josephine K. Manase amesema,

Wananchi wa kata ya Makwale wanapaswa kupendana na kuacha kugombana wao kwa wao, hasa katika makanisa,  ambapo viongozi wa dini mbalimbali katani humo, ndiyo wamekuwa vinara kwa kugombana.
Aliwataka viongozi wa dini kukaa na kumaliza tofauti zao, kwa kufanya hivyo waumini na wananchi wataishi kwa amani katika kata yao.

"Ninaamini siku mkiniita wanaMakwale, mtaniita mkiwa mmeitafuta amani, naomba tupendane na mimi nitawaunga mkono katika maendeleo hatua kwa hatua". amesema Mhe. Manase.

Aidha amemshukuru Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaona wakulima wa Makwale, kwa kuongeza vituo vya usamabaji wa Mbolea. Aidha amesema anaamini ipo siku kata ya Makwale kituo cha usambazaji wa pembejeo kitapatikana.

Kuhusiana na suala la umeme, Mhe. Mkuu wa wilaya amesema, wao kama viongozi wameendelea kuwasemea wananchi ambao hawajapata umeme, na amesema wananchi hao wawe wavumilivu ili kusubiri Mpango wa umeme wa REA katika awamu nyingine ya usamabazaji wa umeme unaokuja. Hivyo kila mwananchi atapata huduma ya umeme.

Pamoja na hayo Mhe. Manase amesema ukarabati wa ofisi ya mahakama kuna mradi utakao tekelezwa kuanzia mwezi wa 6 na Mahakama itaanza kujengwa.

Aidha amewaonya wakinamama wanaokopeshana, kuwa na katiba nzuri katika vikundi vyao vya kukopeshana alimaarufu "Kausha Damu" Pia amewataka kuacha kukopa katika vikundi hivyo ikiwa hawana uwezo wa kulipa mikopo, ili kuondoa tatizo la migogoro katika familia zao.

Hata hivyo Mhe Mkuu wa wilaya, amewataka wananchi kukubaliana viwango vya michango ya maendeleo kutokana na hali za wananchi ili kila mwananchi aweze kuchangia bila kuumizwa.

Matangazo

  • Tangazo La Kazi September 22, 2023
  • Tangazo La Kazi September 22, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Matokeo Kidato Cha Nne Mwaka 2022 January 29, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho Ya Siku Ya Wazee Duniani Yatumika kuwakumbusha Wazee Kufanya Mazoezi

    October 01, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa