• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Awatoa Hofu Wakulima Wilayani Kyela Juu Ya Wanyama Waharibifu Wa Mazao

Imewekwa Kwenye: August 31st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mheshimiwa Ismail Mlawa, amewatoa hofu wakulima wa wilayani Kyela juu ya wanyama waharibifu wa mazao (Ngedere) ambao wamekuwa ni kikwazo katika mazao ya kilimo wilayani hapa.

Mheshimiwa Ismail Mlawa ameyasema haya katika kikao cha baraza la Waheshimiwa Madiwani la robo ya 4 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 30/08/2022.

Amesema hadi sasa risasi maalum za kufukuzia ngedere tayari zimekwisha nunuliwa na kwamba kinachosubiriwa ni utelezaji wa zoezi la kuwaondoa ngedere kwenye mashamba.

Aidha alisema, wananchi wanatakiwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika na sio kuchukua sheria mkononi kwa kuwaua.

Akizungumzia suala la uandikishwaji wa pembejeo kwa wakulima alisema, zoezi hilo linaendelea na anauhakika kuwa zoezi litaendelea kama kawaida na kwamba wakulima wote watafikiwa.

Alifafanua kuwa wakulima watakaoandikishwa ni wale wenye mashamba na wanaofanya shughuli za kilimo wilayani Kyela na kwamba mkulima yeyote mwenye shamba nje ya wilaya,  atalazimika kujiandikisha eneo lilipo shamba lake.

“Sensa ya watu na makazi imesababisha uandikishwaji wa wanufaika wa pembejeo kusuasua lakini baada ya zoezi la sensa kukamilika zoezi litaendelea na kuwafikia wakulima wote, lakini naomba nitoe ufafanuzi kwamba wakulima watakaondikishwa ni wale wote ambao wana mashamba hapa wilayani Kyela tu hivyo kama mashamba yako yapo nje ya wilaya hii utajiandikisha yaliko,” alisema Mlawa.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Katule Kingamkono alisema kila mkulima mwenye kigezo atapata pembejeo za kilimo.

Aliwaomba wataribu wa zoezi hilo kuwa waaminifu kwa kuhakikisha kila mkulima anayestahili apewe mbolea kwa bei elekezi ya serikali na kumuwezesha kupata mavuno mengi.

Mwisho.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa