• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kliniki Ya Kusikiliza Kero

Imewekwa Kwenye: March 21st, 2024

Licha ya kuzunguka kila kata ili kuwafuata wananchi na kusikiliza kero, Leo tarehe 20/03/2024, Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase ameandaa, kikao katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri na kusikiliza kero za wananchi, kikao kilichorushwa mubashara kupitia redio yetu ya jamii Keifo FM, na wananchi wote wamepata fulsa ya kusikiliza utatuzi wa kero zao.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Katibu tawala wa wilaya Bi. Sabrina Hamoud, Kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bi. Lidya Herbert, wakuu wa Idara na vitengo wa halmashauri, wakuu wa Taasisi za Serikali, pamoja na wanachi wenye kero binafsi na za jumuia.

Katika kikao hicho Mhe. Mkuu wa wilaya amewashukuru watumishi na wanachi waliojitokeza pia ametumia nafasi hiyo kuwakimbusha wananchi kuishi kwa amani, pamoja na kuilinda wilaya yetu dhidi ya wahamiaji haramu.

Amewataka wananchi kutoa taarifa kwa vyombo husika pale wanapokuwa na mashaka na mtu yeyote  ambae ni mgeni katika kijiji au kata, ili kujua uraia wake, kwani wilaya yetu ipo mpakani, hivyo ni kwa baadhi ya wageni kuingia bila kufuata taratibu za uhamiaji na baadae kuwa tatizo kwa jamii ya wanaKyela na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • KYELA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

    November 28, 2025
  • UJIO WA WAZIRI WA VIJANA MHE. JOEL NANAUKA WALETA TUMAINI JIPYA KWA WAJASIRIAMALI WILAYANI KYELA

    November 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa