• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Mradi Wa Vyumba 4 Vya Madarasa Shule Ya Sekondari Njisi

Imewekwa Kwenye: April 26th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine K. Manase amezindua vyumba 4 vya madarasa vyenye thamani ya shilingi 80,000,000/= katika shule ya sekondari Njisi iliyopo kata ya Njisi hapa wilayani Kyela 25/04/2023.

Uzinduzi huo umefanyika ikiwa ni utekelezaji wa moja ya shughuli za maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa madarasa hayo, Mheshimiwa Mkuu wa wilaya amesema, katika kuadhimisha miaka 59 ya Muungano wa nchi yetu ya Tanzania, tunapaswa kuwashukuru waasisi wa Muungano wetu, na kutufanya wananchi kuwa huru hadi leo hii, pia nchi yetu imekuwa na amani kwa sababu ya umoja wetu.

"Umoja wetu ndiyo Muungano wetu, maana yake bila huu umoja hakauna Muungano" amesema Mhe. Manase.

Aidha amewaomba wananchi kumuunga mkono Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii katika maadhimisho haya ya miaka 59 ya Muungano wetu.

Ameongeza kwa kusema Mhe. Rais wetu ametufanyia mengi wanaKyela ikiwemo uanzishaji wa miradi ya maendeleo kila kona ya wilaya yetu.

Katika kuadhimisha sherehe za miaka 59 ya Muungano wa nchi yetu, halmashauri ya wilaya kwa kushirikiana na wananchi, imeweza kutekeleza shughuli mbalimbali katika jamii ikiwemo,

Shughuli za upandaji wa miti, ikiwa hadi kufikia tarehe 25/04/2023 miti 61,000 imepandwa katika mazingira tofauti tofauti ndani ya wilaya yetu. Pamoja na hayo shughuli za usafi wa mazingira zimefanyika pia uandaaji wa makala fupifupi ambazo zimewashirikisha wazee kutoka kwenye jamii zetu, na kupata fulsa ya kuuzungumzia umuhimu wa Muungano wetu.

Mwisho.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa