• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Zoezi La Chanjo Ya Surua Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: February 15th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase azindua rasmi kampeni ya utoaji wa chanjo ya surua na lubela kwa watoto wote walio chini ya umri wa miaka 5, leo tarehe 15.02.2024 katika kata ya Ndandalo wilayani Kyela.

Akizindua kampeni Hiyo Mhe. Manase amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi, kuwaleta watoto wao kupata chanjo ya ugonjwa wa surua ili kuepuka athari zinazotokana na ugonjwa wa surua, ambapo chanjo itatolewa kuanzia tarehe 15.02.2024 mpaka tarehe 18.02.2024.

Aidha Mhe. Mkuu wa wilaya ya Kyela amewapongeza wananchi waliojitokeza siku ya leo kwa kuwaleta watoto wao kwaajili ya kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa surua na kuwataka kuwa mabalozi kwa wananchi wenzao.

Pamoja na hayo Mhe. Manase amewaomba wananchi, kuepukana na imani potofu juu ya ugonjwa wa surua na lubela. Amethibisha kwamba, chanjo zinazotolewa, zimethibishwa ubora na  wataalamu wa afya wote ulimwenguni na ni salama kwa matumizi ya Mwanadamu hasa watoto chini ya umri wa miaka mitano.

Mwisho Mhe. Mkuu wa wilaya ya Kyela ametoa faida mbalimbali zitokanazo na chanjo hiyo ya ugonjwa wa Surua na lubela, ikiwemo kumkinga mtoto dhidi ya uoni hafifu au upofu ikiwa ni madhara yatokanayo na ugonjwa wa surua.

Aidha chanjo ya surua inamkinga mtoto na vifo visivyo vya lazima.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • KYELA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa