• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mrisho Mpoto Amaliza Salama Kampeni Ya Nyumba Ni Choo Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: January 9th, 2019

Msanii Mguli wa mziki hapa Tanzania anaejulikana kwa jina la Mrisho Mpoto na bendi yake, wamemaliza salama kufanya kampeni ya uhamsishaji wa matumizi ya vyoo bora leo tarehe 09//01/2019.

Kampeni hii aliianza tarehe 07/01/2019, na kupata fursa ya kuzunguka kata mbakimbali za Kyela, ikiwemo kata ya Matema, Mababu, Busale, Ipinda na kumalizia Kyela mjini. 

Aidha msanii huyo amewataka wananchi wa wilaya ya Kyela, kuachana na utamaduni wa kutokuwa na vyoo bora, kwani wananchi wa Kyela ni wasafi sana, hivyo basi ni aibu kubwa kwao kupendeza wakiwa barabarani ilihali nyumbani hakuna Choo bora. 

Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Claudia U. Kitta alimhakikishia msanii huyo pamoja na wananchi wa wilaya ya Kyela kuwa, tupo pamoja na serikali ya awamu ya tano, katika kuhakikisha kuwa ifikapo tarehe 30/03/2019, kaya zote nchini kuwa na vyoo bora. 

Ila aliomba kwa upande wa wilaya ya Kyela, kukamilisha zoezi hili, ifikapo tarehe 30/06/2019. Sababu kuu ni kutokana na wilaya hii kuwa na maji mengi hivyo basi uchimbaji wa mashimo ya vyoo kuwa mgumu sana kwa kujaa kwa maji mengi katika mashimo hayo bila kufikia malengo.

Pia alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya  wilaya ya Kyela Mhe. Lucy L. Mganga  kwamba, ahakikishe anatafuta takwimu za kaya pamoja na aina za vyoo walivyonavyo, kwani taarifa zilizotolewa na Afisa Afya wa wilaya hazikuwa za kweli. 

Mwisho alitoa pongezi kwa serikali ya awamu ya tano kwa kumtumia msanii mlisho mpoto, katika kampeni hizi kwani wananchi wengi wamehamasika, hivyo anaamini kampeni hii inakwenda kutokomeza magonjwa yote ya mlipuko.

Imetolewa na :

Ofisi ya Habari na Mawasiliano 

Kyela. 




Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa