• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mradi Wa Uboreshaji Usalama Wa Milki Za Ardhi Kumaliza Migogoro Ya Ardhi Mjini na Vijijini Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: June 21st, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, ameongoza mkutano wa wadau kujadili utekelezaji wa mradi wa uboreshaji wa usalama wa milki za ardhi tarehe 20/6/2024, katika ukumbi wa Songwe view resort uliopo Kata ya Ikimba wilaya ya Kyela.

Mkutano huo umeudhuriwa na Kaimu Katibu tawala mkoa wa Mbeya, Wakuu wa Idara na Vitengo ngazi ya wilaya na mkoa, taasisi za serikali na binafsi, Wahe. Madiwani, katibu wa Mbunge, viongozi wa kimira na dini , Asasi za kiraia, wataalamu wa nyumba na makazi ngazi ya mkoa, Watendaji kata, wawakilishi wa makundi maalumu na wafanyabiashara wilaya ya Kyela.

Aidha Mhe. Mkuu wa wilaya ya Kyela, ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasan, kwa kuleta mradi utakaoleta manufaa kwa wananchi wa wilaya ya Kyela, hasa kwa wamiliki ardhi.

Mradi huu utasaidia kurasimisha maeneo  yanayomilikiwa na wananchi na kuyafanya halali. Pia amewashukuru wadau kwa kuhudhuria mkutano huo ili kuweza kujadili utekelezaji mradi wa uboreshaji wa usalama wa milki ardhi katika wilaya ya Kyela.

Samabamba na hayo Mhe. Josephine Manase, amewatoa hofu wananchi wa wilaya ya Kyela kwamba, kama kutakuwa na changamoto zozote zitakazo jitokeza wakati wa mradi huu, zitatatuliwa kwa utaratibu wa muongozo na sheria za nchi.

Nae kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Dkt.Swaumu Kumbisaga,  amesema Halmashauri imepokea mradi huo, pia amewashukuru wadau wa mradi huu, kwani mradi utatatua migogoro ya ardhi, hasa kwa wakulima na wafugaji.

Pia wananchi watapata hati milki ya ardhi. Na amewaomba wataalamu wa mradi kuwa na ushirikiano katika utekelezaji wa mradi kwa kuanza kutoa elimu vijijini.

Kwa upande wake Afisa mipango miji mkoa wa Mbeya Alpha Mangula amesema vijiji 90 vitafanyiwa urasimishaji katika halmashauri ya wilaya ya Kyela.

Pia ameeleza vigezo  vitakavyomuwezesha mwananchi kufanya urasimishashaji ni pamoja na kua na kitamburisho cha Taifa(NIDA).

Kwa upande wake Tumaini Setumbi ambaye ni afisa maendeleo ya jamii mwandamizi kutoka wizara ya ardhi makao makuu Dodoma amesema wakati wizara ikiandaa nyaraka mbalimbali za kuhakikisha wanapata fedha walitumia miongozo mbalimbali ya kisheria za nyumbani na kimataifa lengo likiwa ni kulinda kuishirikisha jamii husika.

Mradi huo unatarajiwa kuwafikia wananchi katika mitaa ya  Ipinda, Mikumi, Itunge, Bondeni A, Bondeni B, Serengeti, na Ndandalo, ambapo kabla ya kuanza utekelezaji wizara inatarajia kuhamasisha wananchi juu ya uelewa wa mradi huo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa