• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Msafara Wa Mkuu Wa Wilaya Kyela Wavamiwa-Mwenyekiti Mh. Hunter Mwakifuna

Imewekwa Kwenye: September 30th, 2019

Haya yamesemwa na mwenyekiti wa halmashauri wa wilaya ya kyela mhe. Hunter  mwakifuna katika kikao cha waandishi wa habari katika ofisi ya  mkurungenzi mtendaji  wilaya ya kyela tarehe 29.08.2019, majira ya saa 11:oo asubuhi siku ya alhamisi.

Kutokana na tukio lililofanywa na vijana  katika Kata ya Makwale, kijiji cha Mpunguti  siku ya jumatano, tarehe  28,08,2019,majira ya saa 5:15 jioni. Vijana ambao walikuwa wanapinga kuzikwa kwa kijana mwenzao aliyejulikana  kwa jina la Richard Kamunyoge, aliyefariki ghafla wakati akicheza mpira  na kuamini kuwa amekufa kwa imani za kishirikina ( kurogwa) ndio walisababisha uvamizi huo.

Mwenyekiti mh. Hunter Mwakifuna amesema  vijana hao  walivalia Tisheti za rangi nyekundu walivamia Msafara  wa mkuu wa wilaya  mhe. Claudia Kitta, akitoka kukagua baadhi ya miradi ukiwepo mradi wa barabara ya Matema. Vijana kwa kuhofia  kwa mhe. Claudia kitta kuwaingilia maamuzi yao ya kupinga kuzikwa kwa mwenzao  mpaka uchunguzi ufanyike ndipo walipoamua  kuziba barabara na kuanza kushambulia msafara kwa mawe.

Pia mwenyekiti Hunter Mwakifuna amesema kutokana na tukio hilo maafisa usalama wawili walipata majeraha kadhaa, lakini Mhe. Claudia Kitta alifanikiwa kuondoka salama katika tukio hilo. Mpaka sasa watu 45 wanashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi.

Aidha mkurungenzi mtendaji Mhe. Polycarp Benedict Ntapanya, amekemea vikali juu ya tukio hilo, amewasisitizia wananchi wa Wilaya ya Kyela kuwa watulivu na kuendelea na shughuli zao kama kawaida kwani ulinzi na usalama umeimarishwa pande zote.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa