• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti Akabidhi Boti Za Uvuvi Ziwa Nyasa

Imewekwa Kwenye: November 16th, 2023


Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Pastory Mnyeti, amefanya zoezi la kukabidhi boti za uvuvi 4 za kisasa kwa wavuvi kutoka Mkoa wa Ruvuma, Njombe na Mbeya, zoezi ambalo limefanyika tarehe 15/11/2023 katika bandari ya Kiwira wilayani Kyela.

Akizungumza wakati wa kukabidhi boti, Mhe. Naibu Waziri amesema, kwa awamu ya kwanza serikali itakabidhi boti 160 nchi nzima, na nyingine zitakuja kwa awamu ya pili, Hivyo kila mwananchi mwenye sifa na uhitaji wa mkopo wa boti hizo anakaribishwa wakiwa aidha ni mtu binafsi, kikundi au kampuni. Kwani serikali inafanya jitihada hizi ili kuinua sekta ya uvuvi wenye tija nchi.

Aidha amewataka wanufaika wa mkopo huo kurudisha marejesho kwa wakati, ili wavuvi wengine wapate fursa ya kukopeshwa boti za kisasa kama hizi zilizokopeshwa sasa kwa awamu nyingine.

Vilevile Mhe. Mnyeti ameongeza kwa kusema,  Wizara ya Uvuvi na Mifugo inaendelea kutoa elimu juu ya ufugaji wa samaki katika vizimba na kwa sasa elimu hiyo itaanza kutolewa katika ziwa Nyasa, Pia wizara ina mpango wa kuanzisha Mamlaka za Uvuvi nchini Tanzania, hususani sehemu zote ambazo shughuli za uvuvi zinafanyika, lengo la serikali ni kutaka kuratibu na kusimamia masuala yote yanayohusu uvuvi nchini.

Pia Mhe. Mnyeti amewataka wataalamu kutoka mamlaka ya uvuvi kutoa elimu haraka sana juu ya matumizi ya boti hizo za kisasa, ili wamiliki waanze kuzifanyia kazi mara moja.

Mhe. Alexander Pastory Mnyeti amehitimisha kwa kumpongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya kwani hadi sasa  Mhe. Rais amegusa sekta zote, kilichobaki ni sisi watumishi kufanya kazi, ili kuhakikisha nchi ya Tanzania inafikia malengo ya kujiinuka kiuchumi duniani.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Matokeo Kidato Cha Nne Mwaka 2022 January 29, 2023
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Miti 70,000 Yapandwa Katika Maadhimisho Ya Miaka 62 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa