• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ni Lazima Tujikague Kwanza Kabla Hatujakaguliwa - Ezekiel H. Magehema

Imewekwa Kwenye: July 14th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu Ezekiel H. Mgehema (kulia). 

Haya yamezungumzwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu, Ezekiel H. Magehema alipokuwa katika ziara ya kutembelea ujenzi wa jengo la upanuzi wa zahanati ya Kilasilo iliyopo katika kata ya Ikimba hapa wilayani Kyela. 

Mkurugenzi amefanya ziara hiyo leo tarehe 14/07/2020, akiwa na wakuu wa Idara na vitengo, lengo la ziara ni kuwapa uhuru wakuu wa Idara na vitengo kulikagua jengo hilo, na kuangalia baadhi ya mapungufu, ili waweze kujadiliana jinsi ya kuyarekebisha kabla ya kuja kukaguliwa na viongozi kutoka ngazi za juu. 

Aidha Mkurugenzi alitoa shukrani zake za dhati kwa wananchi ambao waliwasilishwa na mwenyekiti wa kamati ya ujenzi, ndugu Asajile Jonstoni akiwa na Afisa Mtendaji wa kata hiyo. Alisema, niwapongeza wananchi wa kata hii kwa kujitolea kusaidia kazi mbalimbali katika ujenzi wa jengo hili, ila kama serikali imetoa milioni 200,000,000/=, tulitegemea kuwa na majengo mengi zaidi, hivyo wakati mwingine nguvu za wananchi ziongezeke ili kupata majengo mengi zaidi, pale tunapopata pesa za msaada kama hizi kutoka serikali kuu. 

Nae Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu, Mariam Ngwere, alitoa ushauri kwamba, ni vizuri jengo hili likaendelea kutoa huduma ndogo ndogo, pale marekebisho madogo madogo yanapoendelea kufanyika. 

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji aliwataka wataalam kutoka ardhi, kuhakikisha eneo lote la zahanati, kuwa na mipaka inayofahamika ili kuondoa, migogoro ya mipaka baina ya Halmashauri na wanakijiji. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa