• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC MBEYA MHE. BENO MALISA AFUNGUA RASMI MAONESHO YA BIASHARA YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR & FESTIVAL

Imewekwa Kwenye: September 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, amefungua rasmi Maonyesho ya Biashara ya Kusini International Trade Fair & Festival leo tarehe 14 Septemba 2025 katika Kata ya Matema, Wilaya ya Kyela.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Malisa amewataka wafanyabiashara kuhakikisha usafi wa mazingira muda wote, hususan kipindi chote cha maonyesho hayo. Amesisitiza kuwa kila shughuli itakayofanyika kwenye maonyesho hayo iguse kwa namna moja au nyingine suala la utunzaji wa mazingira.

Aidha, RC Malisa ametoa rai kwa waandaaji wa maonyesho hayo kuhakikisha matamasha na mambo mbalimbali yanayohusisha elimu kwa wananchi yatolewe kwa njia ya mikutano na semina kwa kuandaa kumbi za mikutano, badala ya kila mtu mmoja mmoja kwenda kujifunza kwenye mabanda.

Vilevile, amesisitiza kuwa maonyesho hayo yawe chachu ya kuitangaza Halmashauri ya Wilaya ya Kyela kupitia zao la kakao. Amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kyela kuandaa eneo maalumu litakalotumika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu zao la kakao kwa undani zaidi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MBEYA MHE. BENO MALISA AFUNGUA RASMI MAONESHO YA BIASHARA YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR & FESTIVAL

    September 14, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA APOKEA BOTI YA DORIA KWA AJILI YA ZIWA NYASA

    August 23, 2025
  • MKUU WA WILAYA KYELA AONGOZA TATHMINI YA MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA.

    August 16, 2025
  • DC MANASE AENDELEA NA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHII

    August 13, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa