• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RUWASA Kyela Yapokea Tena Rora 67 Na Mabomba 80 Kwa Miradi Ya Maji

Imewekwa Kwenye: June 28th, 2021

Katibu wa Mbunge ndugu Edger Mlaghila akishirikiana na Meneja wa RUWASA Eng. Tanu Deule wamepokea rola 67 na mabomba 80 leo tarehe 28/06/2021, mabomba haya yameletwa kwa lengo la kumalizia mradi wa maji wa kata ya Mababu katika kijiji cha Kilombero.

Akiongea baada ya mapokezi ya mabomba hayo, katibu wa Mheshimiwa mbunge amewaomba wananchi kupokea vizuri miradi hii ya maji ambayo inatekelezwa kwa wakati huu. Pia amesema, kazi  za maendeleo zinahitaji nguvu kazi, hivyo popote miradi hii inakopita ni vema wananchi tukajitokeza ili kushiriki  shughuli mbalimbali katika miradi hiyo.

 Aidha amesema serikali imekuwa na kasi kubwa sana ya utekelezaji wa miradi ya maji katika wilaya yetu, na kwa kuwa wilaya ya Kyela imekuwa na tatizo la maji kwa mda mrefu, anaamini sasa tatizo hili linakwenda kwisha. 

Pia katibu huyo wa mbunge ameishukuru sana serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwekeza fedha nyingi za miradi ya maji katika wilaya yetu, Pia amepongeza ushirikiano mkubwa uliopo baina ya ofisi ya Mbunge, Mkuu wa wilaya, pamoja na Ofisi ya mkurugenzi, kwani ushirikiano huu ndio unaoleta maendeleo haya tunayoyaona leo.

Nae meneja wa RUWASA  amekili kupokea mabomba hayo , na kuwata wananchi kutambua kuwa, serikali yao inawajari sana na hivyo kuwataka kuwa walinzi wa miradi yote ambayo inakweda kutekelezwa hapa wilani.

"RUWASA MAJI BOMBANI"

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa