• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Serikali Ya Gharamia Zaidi Ya Shilingi Bilioni tatu (3,000,000,000) Kujenga Mradi Wa Maji Kyela

Imewekwa Kwenye: January 2nd, 2021

Haya yamezungumzwa na Mhe. Naibu waziri wa maji Meryprisca Mahundi alipokuwa katika ziara ya kikazi katika eneo la Mambe Busokelo katika mradi wa maji wa mto Kanga tarehe 31/12/2020.

Mheshimiwa Naibu waziri wa maji amesema  chanjo  cha maji cha Kanga kinauwezo wa kuzalisha maji lita 15,000,000 ambazo zinauwezo wa kutoshereleza mahitaji ya maji kwa wilaya ya Kyela, Hivyo serikali imeamua kuleta pesa zaidi ya shilingi 3,000,000,000  ili kumaliza tatizo la maji wilaya ya Kyela na ukizingatia wilaya ya Kyela inahitaji maji lita 8,000,000 tu kutoshereza wananchi wote wilayani hapa.

Pia amesema chanjo cha maji cha Kanga group kimefanyiwa utafiti na kubanika kuwa ni moja ya chanjo cha maji ambacho hakitakuwa na mashaka yoyote katika kumaliza adha ya maji wilayani Kyela, kwani hata katika kipindi cha kiangazi chanzo hichi huwa na maji zaidi ya lita 13,000,000.  Pia ameiagiza mamlaka ya  maji Mkoa wa Mbeya kupitia mkurugenzi wake kuanza kazi mara moja ya maandalizi kuanzia mwezi huu wa kwanza.

Aidha akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Kyela Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Kyela Mlaghila Jumbe, amesema sasa kwa mara ya kwanza Kyela tatizo la maji linakwenda kuwa histiria, pia alimwomba Mheshimiwa Naibu waziri asiichoke Kyela, kwani bado hata huko vijijini kunauhitaji wa maji, na alisema kuna baadhi ya vyanjo vya maji vinavyohiyajika kupata nguvu ya sola tu ili kuvuta maji kutoka katika vyanzo na kusambaza kwa wananchi.

Pia Mkuu wa wilaya ya Kyela Mshimiwa Claudia U. Kitta alitoa shukrani zake za dhati kwa mheshimiwa Naibu waziri kwa kufika kwake, na alimwomba kulizingatia ombi lao la uchimbaji wa visima virefu mradi utasaidia watu kupata maji wakati wakiwa wanasubili mradi mkubwa kukamilika, na ombi mradi huo upo mezani kwa Mhe. Waziri wa maji aliepita.

Mwisho Mheshimiwa Naibu waziri aliwapongeza watumishi wote waliofanya uchunguzi wa chanzo hicho na aliwataka kutokulala sasa kwani serikali ya sasa ipo katika utekelezaji wa kutoa huduma kwa wananchi wake kwa haraka na kwa umakini mkbwa sana.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa