• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Serikali Yatoa Shilingi 250,000,000/= Kwa Ujenzi Wa Kituo Cha Afya Itunge

Imewekwa Kwenye: September 2nd, 2021

Haya yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mheshimiwa Katule kingamkono, alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata ya Itunge hapa wilayani Kyela tarehe 30/08/2021.

Akizungumza na wananchi hao, Mheshimiwa Kingamkono amewahakikishia wananchi hao kwamba kiasi cha shilingi 250,000,000/= tayari zimeshawekwa katika akaunti benki kwa ajiri ya ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Itunge, Hii ikiwa na lengo la kutimiza ndoto ya wanaItunge kuwa na kituo cha Afya.

Kwa upande wao wananchi walimhakikishia Mwenyekiti kuzisimamia pesa hizo, pia walikubaliana kuanza kutoa michango ili kusaidiana na serikali katika juhudi za kuleta maendeleo kwa wananchi wa Kyela na Tanzania kwa ujumla.

Aidha Mheshimiwa Mwenyekiti aliweza kuhudhulia na kufungua mafunzo kwa wanafunzi waliomaliza vyuo, na ambao hawajafanikiwa kupata ajira. Mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Mamlaka ya Mji mdogo Kyela. Mafunzo yaliyoandaliwa na Idara ya Maendeleo ya jamii chini ya Mkuu wa idara hiyo ndugu Victor Kabuje. Mafunzo hayo yamelenga kutoa elimu ya kutumia fursa zilizopo hapa wilayani na nje ya wilaya zitakazowasaidia kujiajiri.

Pia Mheshimiwa Mwenyekiti aliahidi kutoa mikopo kwa wanafunzi watakaounda vikundi kwa ajiri ya ujasiriamali. Ikiwa ni asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri, yanayotengwa kwa ajiri ya kuwakopesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu .

Mwisho Mheshimiwa Katule Kingamkono aliweza kutembelea ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Njisi iliyopo kata ya Njisi, ambapo aliungana na wananchi wapenda maendeleo katika harambee ya ujenzi wa shule hiyo, Na kuwaahidi kuchangia shilingi 10,000,000/= kwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri.

Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari katika kata ya Njisi wilayani Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa