• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Shilingi 2,000,000/= Kutolewa Na Mheshimiwa Mbunge Wa Jimbo La Kyela Kusaidi Ujenzi Wa Shule Mpya Ya Sekondari Ibanda

Imewekwa Kwenye: November 15th, 2021

Wananchi wa Kata ya Ibanda wilayani Kyela Waliojitokeza katika mkutano wa Hadhara na kujionea tripu za mawe zikishushwa kwaajiri ya ujenzi wa shule mpya ya Ibanda Sekondari.

Mbunge wa jimbo la Kyela Mheshimiwa Ally J. Kinanasi ameahidi kutoa kiasi cha shilingi 2,000,000/= ili kusaidia ujenzi wa shule mpya ya sekondari inayotarajiwa kuanza kujengwa katika kata ya Ibanda hapa wilayani Kyela.

Akizungumza haya kwa njia ya simu katika mkutano wa hadhara wa kata hiyo, ulioitishwa na Mheshimiwa Katule G. Kingamkono Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, Mheshimiwa Mbunge amesema; anafuraha kubwa kuungana na wananchi wa kata ya Ibanda katika suala la maendeleo ya kata hiyo. Na hivyo ameguswa kuchangia kiasi cha shilingi 2,000,000/= ili pesa hiyo ikanunue mifuko 100 ya saruji, na itakayobaki isaidie katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa shule hiyo mpya ya sekondari Ibanda.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, ameitisha mkutano huo wa wananchi katika kata ya Ibanda kwa lengo la kuwatia moyo juu ya ujenzi wa shule hiyo mpya, na katika  kuthibitisha hilo aliwataka wananchi hao kushuhudia tripu za mawe zilizokuwa zikiletwa kwa michango yao tayari kwa maandalizi ya ujenzi wa shule hiyo mpya.

Tripu za mawe zikishushwa kwa maandalizi ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kata ya Ibanda.

Akiongea kwa furaha kubwa bi.Grace Samweli Mwalunene(mkazi wa ibanda) amesema, kwa sasa anaiona Ibanda mpya, kwani amekuwa akitamani maendeleo yanayofanywa na kata nyingine nyingi za hapa wilayani, ila kwa sasa ni zamu ya Ibanda.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa