• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Taa za Kandili, Mishumaa Kuzimwa Kyela

Imewekwa Kwenye: April 22nd, 2018

Waziri wa nishati Mhe. Dr. Medard Kalemani amefanya ziara katika Wilaya ya Kyela tarehe 21/04/2018, katika ziara yake ameahidi kumaliza tatizo la kutokuwa na Kata zisizokuwa na umeme hapa wilayani. 

Amesema katika mradi wa REA awamu ya tatu serikali imejipanga kupeleka huduma za Umeme katika Kata mbili ambazo hazikufikiwa na mradi wa REA awamu ya kwanza na ya pili yaani Kata ya Nkokwa na Kata ya lpande.

Akiongea na watumishi wa Serikali na waandishi wa habari,alisema katika Wilaya ya Kyela kuna Kata 33 na baina ya hizo ni Kata mbili tu ambazo hazikupata Umeme. 

Hivyo basi kupitia mpango wa Rea awamu ya tatu Kata hizo na vijiji vyake kumi na tatu vitapatiwa Umeme.

Aidha Mhe. Waziri aliwaambia watumishi na waandishi wahabari kuwa Serikali itapeleka Umeme katika taasisi zote za serikali na zisizo za Kiserikali,zikiwemo shule, zahanati, mitambo mbalimbali, makanisa na misikitini. 

Lakini pia serikali itapeleka Umeme hadi katika visiwa hata kwa njia mbadala ikiwemo kupitisha Umeme chini ya maji au kwa njia ya sola.

Aidha Mhe. Waziri alipata nafasi ya kuzungumza na Wananchi wa Kata ya Ipande, akiwa mwenye  furaha kubwa aliwaambia Wananchi kuwa Umeme utaanza kupelekwa katika Kata hizo kuanzia mwezi huu. 

Kwani nguzo 200 zilizokuwa zikihitajika zimepatikana ikiwa na transifoma mbili. 

Hata hivyo Mhe, Waziri hakusita kuzungumzia matatizo wanayoyapata Wananchi wa Mkoa wa Mbeya, mfano kukatika kwa Umeme Mara kwa Mara, watu kuchelewa kuunganishwa na huduma ya umeme hata kama wamelipia. 

lakini aliwahakikishia Wananchi kuyamaliza matatizo hayo kuanzia sasa.

Mwisho alitoa maagizo kwa Wakurugenzi wote nchini, kuingiza Umeme katika taasisi za kiselikari pindi Umeme unapofika katika taasisi za serikali. 

Ziara ya Mhe. Waziri imeleta nuru na kuwapa matumaini kwa Wananchi wa Kyela kuzima taa za Kandili na mishumaa. 

Tunaamini hadi kufikia mwaka 2021 Tanzania yetu itakuwa na nuru ya Umeme. Kila raheli Serikali yetu ya awamu ya tano kwa Maendeleo ya kuipeleka nchi yetu katika uchumi wa kati. 


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa