• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TAARIFA YA UTOAJI MKOPO WA TSH 816,831,820 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU NA MAREJESHO YA MKOPO KUANZIA MWAKA 2025 HADI 2026

Imewekwa Kwenye: February 13th, 2025

Halmashauri ya kyela imeweza kutoa mkopo wa Tsh 1,457,343,755 kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 2015/2016 hadi 2022/2023 na kati ya mkopo huo kiasi cha Tsh.1,046,548,000 zimeweza kurudishwa na kiasi cha Tsh 410,795,75. Bado hakijarejeshwa kutokana sababu mbalimbali ikiwemo vikundi kusambaratika na wakopaji wengine kukimbia ndani ya wilaya na wengine wanaendelea kufuatilia ili waweze kurejesha fedha hizo ili wakopeshwe wengine.

Hata hivyo utakumbuka mikopo ilisimamishwa na Mhe,Waziri Mkuu na imerejeshwa tena mwaka 2024 ili kuandaa utaratibu mpya wa utoaji mikopo ambao ulikamilika na dirisha kufunguliwa Oktoba 2024

ili kutoa mikopo ambayo itarejeshwa Idara kwa kushirikiana na wawezeshaji kutoka Idara ya fedha na kitengo cha Tehama walitoa maelekezo na uundaji wa kamati mbalimbali kwa kufuata mwongozo mpya ambazo ni;-

  • Kamati ya Huduma za mikopo ngazi ya Kata
  • Kamati ya Huduma ya mikopo ngazi ya Halmashauri
  • Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ngazi ya Wilaya
  • Kamati ya Wataalamu CMT

Kamati hizi zilipewa mafunzo ya namna ya kutekeleza majukumu yao na kuhakikisha wanayasimamia na kamati zote na wataalamu wa idara ya Maendeleo ya jamii waliapishwa na Mhe. Hakimu kama mwongozo unavyoelekeza.

UTOAJI MKOPO KWA ROBO YA PILI OKTOBA-DISEMBA,2025

Mkurugenzi Mtendaji alitangaza uwepo a fedha Tsh 991,664,777.00 kwa ajili ya mikopo kwa makundi tajwa hapo juu, ambapo Idara ilianza uhamasishaji kupitia redio za kijamii mikutano ya hadhara na wadau mbalimbali ambapo mpaka Disemba 2024 Halmashauri imepokea maombi ya Tsh. 3,178,066,100.00 yenye vikundi 165 ambapo vikundi vya wanawake 87 navikundi vya vijana 72 ukiacha vikundi vilivyoomba Januari na Februari, Mchakato wa kutoa mkopo umefanyika kwa kuanza kutoa mafunzo ya siku 4 kwa vikundi vyote vilivyoomba. Tulipokea mapendekezo kutoka kata na kamati husika zikapitia na kuhakiki uwepo wa vikundi, hivyo halmashauri yetu mpaka sasa hawa ndio wakopaji na hakuna kikundi hewa.Tunaleta mkopo wa Tsh 816,831,820 ili zikopeshwe vikundi vya Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Vijana wanakopeshwa Tsh. 396,665,910 na vikundi vya wanawake Tshs.396,665,910 na Watu wenye ulemavu  Tshs.23,500,000. Kwa vikundi ambapo walitengewa 198,332,955.40 kiasi cha Tsh.172,332,955.Ambazo wakopaji hawajapatikana wenye ulemavu zitakopeshwa robo ijayo kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu.

CHANGAMOTO

  • Uwingi wa maombi kuzidi uwezo wa Halmashauri
  • Vikundi vya zamani kutorejesha fedha ili wengine wakopeshwe
  • Malalamiko kutoka kwa waombaji kukosa mkopo
  • Malalamiko ya vikundi kuwa vimepunguziwa maombi yao

SHUKRANI

  • Mhe. DC kwa kazi nzuri ya kusimamia ili kufanikisha mikopo hii
  • Mhe. Mbunge kusimamia bega kwa bega na halmashauri na wakopaji
  • Katibu tawala Wilaya na kamati yake
  • Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri kuhakikisha fedha zinatengwa na kusimamia vikundi kurejesha
  • Mkurugenzi kwa kusimamia na kuhakikisha anatoa fedha kwa ajili ya vikundi
  • Mwenyekiti wa kamati ya mikopo ngazi ya Halmashauri na kamati yake
  • Watendaji wa kata na kamati  ngazi ya kata
  • Maafisa maendeleo ya jamii
  • Maafisa kilimo na Maafisa mifugo
  • Waandishi wa Habari na wananchi wote wa Kyela vikiwemo vikundi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

    June 10, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA WASICHANA KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    June 09, 2025
  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa