• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tukiahidi Tunatimiza Ili Tuahidi Tena-Lucas Nyanda

Imewekwa Kwenye: May 27th, 2020

Haya yamezungumzwa na katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa wilaya ya Kyela, ndugu Lucas Nyanda, alipokuwa akikabidhi ahadi ya kuchangia miradi ya maendeleo jana tarehe 26/05/202, katika shule ya msingi Nkuyu iliyopo katika kata ya Nkuyu na shule ya sekondari Nyasa lakeshore, iliyopo kata ya Matema wilayani hapa. 

Akizungumza wakati wa kukabidhi mifuko 60 ya saruji, ikiwa ni mchango wa Chama Cha Mapinduzi wilayani hapa amesema, chama makini hujali mahitaji ya wananchi wake, Hata ilani ya chama inazungumza swala la kuchangia maendeleo ya Nchi, hivyo kwa kutoa mchango huu ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama. Na alisema waliahidi na kukamilisha ahadi yao, na watarudi tena kutoa ahadi nyingine ili waje watamize tena, Pia lengo ni kuwahamasisha wananchi ili waige mfano wa chama chao kwa kuchangia maendeleo ya Nchi. 

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna, alitoa pongezi kwa chama, wananchi pamoja na kampuni ya Bioland ambao kwa pamoja wameungana katika kuchangia maendeleo katika wilaya ya Kyela. Zaidi ya mdarasa 800 yamejengwa na kukarabatiwa ikiwa ni nguvu za wananchi, serikali pamoja na wadau wa maendeleo kama, kampuni ya Bioland na mshirika wake Kim's "chocolate". 

Aidha Diwani wa kata ya Matema iliyopo hapa wilayani Kyela Mhe. Issa Solomon alishukuru kwa msaada huo nakusema, madarasa  haya yakikamilika ni faida kwa wilaya ya Kyela pia  ni faida kwa wananchi wote wa Tanzania. 

Mwisho katibu mwenezi wa CCM, ndugu Emmanuel Mwamlinge, aliwataka wananchi kuzidi kukiamini chama chao, kwani Chama Cha Mapinduzi ni chama ambacho kipo kwa ajiri ya utatuzi wa matatizo pamoja na maendeleo ya Taifa. 

Ujenzi wa Vyumba 4 vya madarasa katika shule ya sekondari Nyasa lakeshore, iliyopo kata ya Matema wilayani Kyela. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 570 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE PAMOJA NA WATU WENYE ULEMAVU

    January 07, 2026
  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa