• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tuwapende Watoto Wetu Kwa Kuwasimamia Katika Elimu-Katule G. Kingamkono

Imewekwa Kwenye: November 20th, 2021

Mheshimiwa mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Katule G.Kingamkono akikagua ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Nduka.

Haya yamezungumzwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mheshimiwa Katule G. Kingamkono alipowatembelea wananchi wa kata ya Ngana katika kitongoji cha Nduka tarehe 19/11/2021.

Akizungumza na wakazi hao katika kitongoji cha Nduka, Mheshimiwa mwenyekiti amewataka wazazi kuwasimamia watoto wao hasa katika suala la elimu, amesema shule ya msingi Nduka hajafanya vizuri katika matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2021, hii inatokana na wazazi kutothamini suala la elimu kwa watoto wao.

Aidha amesema,
Kitongoji hichi kipo mbali sana kutoka makao makuu ya wilaya, ila serikali bado inaikumbuka Nduka ndio maana ilileta shilingi 25,123,000/= kwa ujenzi wa nyumba ya mwalimu Mkuu na bado ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa unaendelea.

Vyumba 2 kati ya 5 vinavyoendelea kujengwa katika shule ya msingi Nduka.

Pia Mheshimiwa mwenyekiti wa halmashauri aliwaasa wananchi wa Nduka kusimamia eneo la kilimo cha michikichi, Pia aliwaahidi kuwaletea miche 600 ya michikichi kutoka halmashauri. Alisema kwa kila kaya itatakiwa kupanda miche 10 na itakayobakia ipandwe katika mashamba mbalimbali,Ili itakapoanza kuzaa iwasaidie katika kujikimu kimaisha.

Mheshimiwa Mwenyekiti akianza safari ya kutembea kwa mguu umbali wa zaidi ya kilomita 15 ili kujua maisha harisi ya wananchi wa Nduka.

Pamoja na hayo Mheshimiwa Katule alisema kwa sasa macho yote yanaelekezwa Nduka ili kuwaletea maendeleo yenye tija ili  baadae viongozi wa Nchi wapitikane kutoka Nduka. Alisema ikifanikiwa Nduka basi hata Nchi yetu itakuwa imefanikiwa.


Mheshimiwa Katule G. Kingamkono akiwaaga baadhi ya viongozi wa Nduka waliomsindikiza na waliofika kumpokea baada ya kutembea kwa masaa zaidi ya 2 na nusu kwa mguu.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 570 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE PAMOJA NA WATU WENYE ULEMAVU

    January 07, 2026
  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa