• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tuwatunze Watoto Wetu - Claudia U. Kitta

Imewekwa Kwenye: April 2nd, 2020

Haya yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Claudia U. Kitta, alipokuwa akizungumza katika kikao cha baraza la Waheshimiwa madiwani, kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, tarehe 01/04/2020.

Akizungumza na viongozi pamoja na wananchi waliohudhiria kikao hicho amesema, sio vizuri kwa wazazi ambao wanawaachia watoto wao kwenda kuzurula na kukutana na makundi mtaani, kwani nia ya serikali kufunga shule, ni pamoja na kuwataka wanafunzi kutulia majumbani wakiwa na wazazi wao. Hii ikiwa na lengo la kuwaepusha watoto na maambukizi ya ugonjwa hatari wa CORONA CIVID 19. Ili jambo la kufunga shule liwe na maana, ni vizuri kuwazuia watoto wetu wasiweze kukutana na makundi ya watu ikiwa ni njia ya kujiepusha na gonjwa hili la hatari. 

Aidha Mkuu wa wilaya amewaagiza viongozi kwenda katika kata na vijiji vyao, kukataza tabia ya kukaa na msiba kwa mda mrefu kwani yaweza kuleta maambukizo ya ugonjwa wa CORONA, hivyo amewataka wananchi wowote watakaopatwa na msiba, wajitahidi kufanya mazishi mida ya asubuhi ili kupunguza makundi katika msiba. 

Pamoja na hayo Mhe. Mkuu wa wilaya amewatoa hofu, wananchi wa wilaya ya Kyela kwa kusumbuliwa na tatizo la maji. Amesema hadi sasa serikali yao ya awamu ya tano, imeshaleta vifaa vingi sana vya maji, hii ikiwa ni maandalizi ya uchimbaji wa kisima kirefu cha maji, ambacho kitasaidia kupunguza tatizo la maji katika wilaya ya Kyela. 

Aidha mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna, aliwataka wafanyakazi wa Kyela kuishi kwa amani na kupendana na kuheshimiana, ili kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi wa Kyela na Tanzania. 

Pamoja na hayo Mhe. Hunter hakusita kutoa pongezi kwa shirika la umeme TANESCO, kwa kupunguza adha ya kukatika kwa umeme kila wakati, sababu kila umeme unapokatika shirika hili kwa sasa limekuwa likirekebisha hitirafu ya umeme kwa haraka zaidi ukilinganisha na siku za nyuma. 


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa