• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Vifaa Tiba Na Elimu Vyenye Thamani Ya Shilingi Milioni 4.9 Vyakabidhiwa Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: December 28th, 2023

Wakati watanzania wakiungana na washiriki wengine duniani kusherehekea sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya,

Umoja wa Wanakyela waishio sehemu mbalimbali maarufu IBHASA, wametoa msaada wa mafuta na miwani kwa watu wenye Ualibino na kuungana nao katika kukabidhi vifaa tiba katika kituo cha afya Njisi, Pia kutoa msaada wa vitabu katika shule mpya ya msingi Kilambo iliyopo kata ya Njisi.

Haya yamefanyika tarehe 27/12/2023 katika kata ya Njisi, wakati umoja huo ukiwa hapa wilayani Kyela, kuendelea na shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwemo kuwafariji watu wenye shida.

Akizungumza kwa niaba ya mwenyekiti wa IBHASA Ndugu Vanesa Ngesienge, amesema, umekuwa ni utamaduni wao kila ifikapo mwisho wa mwaka, kukaa na watu wenye uhitaji mbalimbali ili kujua shida zao na kutatua baadhi ya shida ikiwemo, masuala ya elimu na afya.

Aidha ameongeza kwa kusema kuwa, vifaa hivyo vilivyotolewa vinathamani ya shilingi milioni 4.9, fedha zilizotokana na michango yao pia michango kutoka kwa wenzao waishio nje na ndani ya nchi.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa kituo cha afya Njisi Dr. Jonson Mganyizi, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Bi.Florah Luhala , amewashukuru Wana IBHASA, kwa misaada yote waliyoitoa kwa kituo hicho cha Afya pamoja na shule.

Naye Mhe. diwani wa kata ya Njisi Omary Mwinjuma, ameungana na mganga mfawidhi kutoa shukrani kwa wanaIBHASA, kwa msaada walioutoa kwa wananchi wake, na kusema jambo lililofanyika ni ishara ya wazi ya kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya sita, chini ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kipenzi cha Watanzania.

Vilevile mwenyekiti wa "TASI" chama cha watu wenye Ualibino wilayani Kyela, ndugu, Bwigane Mwamasangula, amekipongeza kikundi cha IBHASA na kuwaomba kuendelea kuwakumbuka, kwani bado wanamahitaji mengi muhimu.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa