• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WALIOPATA MKOPO WA 10% WAPEWA MAFUNZO

Imewekwa Kwenye: February 7th, 2025

Afisa maendeleo ya Jamii Ndg. Victor Kabuje ameongoza Mafunzo kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu waliopata Mikopo ya 10% iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri tarehe 7/2/2025.

Akitoa mafunzo hayo Afisa maendeleo ya Jamii Ndg.Victor Kabuje amewataka wote waliobahatika kupata mikopo hiyo kwa awamu ya Pili kuwa na mtazamo chanya juu ya Mikopo hiyo ili iweze kuwanufaisha katika maisha yao.

Ndg. Kabuje amevisihi Vikundi hivyo  kuwa na nidhamu ya pesa,Uaminifu na kuweka akiba ya Fedha kupitia vyanzo vyao vya Mapato.

Aidha Kabuje amewaomba Wafanyabiashara pamoja na Wajasiriamali hao kufuatilia Vyombo mbalimbali vya habari pamoja na mitandao ya kijamii ili kupata fursa na kujifunza njia mbalimbali zitakazoweza kuwasaidia kuboresha na kukuza biashara zao.

Kwa upande wake Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Kyela Bi. Judith Mashasi amewasihi waliopata Mkopo huo kutumia na kurejesha kwa wakati Fedha  hizo ili kuepukana na makosa 34 ya Rushwa ikiwemo kutumia vibaya Fedha za Serikali.

Vilevile Bi. Judith Mashasi amevitaka Vikundi vyote vilivyopata Mkopo kuwa na ushirikiano mzuri utakaowasaidia kuendeasha Biashara zao  na kuweza kujikwamua Kiuchumi.

Bi. Judith amesisitiza kuwa Serikali inatamani kuona Mikopo hiyo ikileta mabadiliko chanya kwa wanufaika, huku akiwahimiza kuitumia kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuleta maendeleo endelevu

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa