• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

Imewekwa Kwenye: May 29th, 2025

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Kyela Mhe.Katule G.Kingamkono ameongoza Baraza la  robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024-2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri tarehe 29.5 2025

Akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya,Katibu Tawala  Wilaya ya Kyela Bi.Sabrina Hamoud  amewapongeza Wah.Madiwani kwa ushirikiano na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kupia wataalamu wake kwa ukusanyaji wa mapato uliopelekea kununua mtambo mkubwa wa kutengenezea barabara.

Awali Mhe.Katule amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoa fedha kwa ajili ya  kuhakikisha miradi ya maendeleo inaanzishwa na kukamilika kwa wakati.

Aidha Mhe.Mwenyekiti amewapongeza Madiwani kwa kusimamia zoezi la ukusanyaji wa mapato kwenye kata kwani hapo awali Halmashauri ilikua ikikusanya Tsh.bilion 2.7 lakini mpaka sasa Halmashauri imeweza kukusanya mapato hadi kufikia Tsh.bilioni 8.1

Mhe.Katule ameishukuru Ofisi ya Mkuu wa Wilaya  kupitia vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha amani na Usalama vinapatikana ,pia ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na wataalamu kuanzia ngazi ya Kata kwa ushirikiano mzuri katika kutekeleza majukumu ya kuwahudumia Wananchi.

Sambamba na hayo Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri amewapongeza na kuwaomba Wataalamu kufanya juhudi katika zoezi la ukusanyaji wa mapato,kwani kupitia mapato hayo Halmashauri iliweza kununua mtambo wa kutengeneza barabara,pia mapato hayo yatasaidia kununua mitambo mingine kama Roller, Grader zitakazowasaidia kutatua changamoto ya miundombinu.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa