• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Wa Kyela Wafanya Ziara Mkoa Wa Songwe, Mbeya Kwa Lengo La Kujifunza Mambo Mbalimbali

Imewekwa Kwenye: December 22nd, 2021

Waheshimiwa Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kyela wakiwa wanapata utambulisho mfupi tayari kwa maandalizi ya kutembelea miradi Mbalimbali ya maendeleo na uwekezaji katika halmashauri ya Mji wa Tunduma. 

Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela wamefanya ziara ya siku nne katika Mkoa wa Songwe na Mkoa wa Mbeya ziara iliyoanza tarehe 21/12/2021 na itamalizika tarehe 24/12/202.

Hii ni ziara ya kawaida ambayo viongozi wa serikali hufanya kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ili kuboresha huduma na maendeleo katika maeneo yao ya utawala wanayotoka.

Hadi kufikia tarehe 22/12/2021, Waheshimiwa Madiwani wameweza kutembelea mradi wa mashine ya ufyatuaji wa matofali ya saruji, mradi wa maegesho ya magari, mradi wa ujenzi wa shule ya mchepuo wa kingereza, mradi wa duka la dawa, soko la mazao haya yote ni katika wilaya ya mji wa Tunduma mkoani Songwe.

Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela wakiwa wameingia katika moja ya stendi ya maegesho ya magari, ikiwa ni moja ya chanzo cha mapato katika halmashauri ya Mji wa Tunduma. 

Aidha Waheshimiwa Madiwani wameweza kukutana na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya vijijini, Mheshimiwa Mwalingo Kisemba pamoja na wakuu wa Idara wa halmashauri hiyo lengo ikiwa ni  kubalishana mawazo juu ya utawala bora, unaojumuisha masuala ya Utawala wa kidemokrasia, utawala wa sheria, haki na usawa kwa watu wote. 

Pamoja na hayo, Waheshimiwa Madiwani wameweza kujifunza kuhusiana na njia mbalimbali za ukusanyaji wa mapato katika halmashauri ya Mbeya vijijini,na kupata fulsa ya kutembelea mradi wa mashine ya ufyatuaji wa matofali ya saruji na mradi wa ujenzi wa ofisi za Halmashauri hiyo. Ziara bado inaendelea.


Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela wakipata maelekezo katika moja ya mradi wa ufyatuaji wa matofali ya saruji (Block) katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya vijijini. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa