• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Wapongeza Utekelezaji Wa Miradi Ya Maendeleo Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: March 8th, 2024

Haya yamejiri wakati Waheshimiwa Madiwani wilaya ya Kyela wakiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo, ikiwa ni utekelezaji wa ziara za kutembelea na kukagua miradi kwa kipindi cha robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Ziara hiyo imefanyika tarehe 05/03 hadi 07/03/2024, ikijumuisha Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, Kamati ya Elimu na Afya, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira, Pamoja na wataalamu kutoka Idara mbalimbali za Halmashauri.

Waheshimiwa Madiwani na wataalamu wametembelea Mradi wa ujenzi wa kichomea taka na ujenzi wa mnara wa kupandishia maji katika zahanati ya Ngyeke Tsh. 62,474,500/= (SRWSSP), mradi wa umwagiliaji wa skimu ya Makwale wenye thamani ya zaidi ya bilioni 20, Ujenzi wa kituo cha afya Makwale, mradi  wa ujenzi wa matundu 22 ya vyoo katika shule ya msingi Mbogela wenye thamani ya shilingi 58,089.815 (SRWSS).

Ujenzi wa shule Mpya ya Wasichana ya Mkoa kata ya Busale yenye thamani ya shilingi 3,000,000,000/= Kutembela mashine yakukoboa mpunga katika kijiji cha mbako kata ya Ikimba wenye thamani ya Tsh. 47,500,000/=(DADPs).

Ujenzi wa vyoo, tanki la kuvuna maji ya mvua, kichomea taka, ukarabati wa  choo katika chumba cha wazazi, mnara wa kupandishia maji katika zahanati ya kandete.

Pamoja na miradi hiyo, Miradi mingine iliyotembelewa na kaguliwa ni mradi wa shamba la mkulima la michiki ambapo ni matunda ya kugawa bure miche kutoka halmashauri, kutembelea shamba la mkulima wa kakao kata ya Ndandalo, ujenzi wa ofisi ya kata, ukarabati wa jengo la zahanati ya njugilo, ujenzi wa zahanati ya Malangali miradi yote kutoka katika kata ya Ipande, Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa na ujenzi wa matundu ya vyoo katika shule ya sekondari Lubele, ujenzi wa maabara katika kituo cha afya Ngonga.

Miradi yote iliyotembelewa na kukaguliwa imeridhiwa na waheshimiwa madiwani ikiwa ni pamoja na kutoa baadhi ya maoni kwa marekebisho, pongezi na kutoa pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuleta fedha nyingi zinazotekeleza miradi mbalimbali katika wilaya ya Kyela.

Aidha waheshimiwa madiwani wametoa maagizo ikiwemo agizo la umaliziaji wa miradi ya maendeleo kwa ubora na kuzingatia muda uliopangwa.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa