• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Wapongezwa Kwa Kuanzisha Mfuko Wa Kuchangia Bima Ya Afya Kwa Wazee

Imewekwa Kwenye: March 16th, 2024

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, Katibu Tawala wilaya Bi. Sabrina Hamoud amesema;

Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ametoa shukrani kwa Waheshimiwa madiwani kwa kuanzisha mfuko wa kuwasaidia wazee kupata bima ya Afya (iCHF), ambapo amesema ataongea na Mhe. Mkuu wa Mkoa ili kuanhalia uwezekano wa kupata fedha kutoka Idara ya afya ili kuona ili kuongeza katika mfuko ulioanzishwa kuajili ya kuwasaidia wazee.

Aidha Mhe. Mkuu wa wilaya ametoa shukrani kwa wananchi ambao walijitolea mashine za kupasua mbao ambazo zimesaidia utengenezaji wa madawati katika shule zilizopo wilayani Kyela, ambapo mbao 270 zilipokelewa na uongozi wa wilaya.

Vilevile amesema Mhe. Mkuu wa wilaya amepongeza umoja uliopo baina ya viongozi wa wilaya, pia amewataka kuendelea kuitunza amani tuliyonayo, hasa tunapoelekea katika uchaguzi mdogo.

Awali Mwemyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule Kingamkono, amesema kwa sasa halmashauri imejipanga kuziba mianya yote ambayo inasababisha kutorosha mapato.

"Tusitake mtu yeyote atuchezee Kyela, haiwezekani watu wachache wanufaike wakati wengine wakiendelea kuumia" amesema Mhe. Katule.

Pia amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri kuwaondoa mawakala wote amabo sio waaminifu katika kukusanya mapato ya serikali.

Aidha amesema Baraza la Madiwa Kyela limeanzisha Mfuko maalumu wa kuchangia fedha, kwa ajili ya kuwasaidia wazee wasiojiweza utakaosimamimiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kyela.

“Sasa wanaKyela tunataka kuelekeza nguvu zetu katika kuwasaidia wazee wetu” alisema Kingamkono.

Mwisho alitoa pongezi kwa watumishi wote pamoja na viongozi kwa ushirikiano na uchapakazi unaoleta maendeleo ya kweli wilayani Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa