• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Waridhishwa Na Usimamizi Wa Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: May 2nd, 2024

Waheshimiwa Madiwani wilaya ya Kyela, wametembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani, tarehe 29-30.04.2024.

Ziara hiyo imejumuisha, Kamati ya Uchumu, Ujenzi na Mazingira, Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango, kamati zilizoongozana na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Florah Luhala, akiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Halmashauri ya wilaya ya Kyela.

Aidha kwa kupitia kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira, Waheshimiwa Madiwani wametembelea miradi mbalimbali ikiwemo, ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Ibungu kata ya Ikimba, Ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika kituo cha afya Itunge, shamba la mkulima wa kakao kata ya Itope, pamoja na kufuatilia miti iliyopandwa katika shule ya msingi Kilambo ili kujua inavyoendelea.

Vilevile Waheshimiwa madiwani kwa kupitia Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wametembelea na kukagua miradi ya Skimu ya umwagiliaji katika kata ya Makwale, shamba la michikichi katika kata ya Itope, wamekagua Maguta yakusombea taka katika ofisi za halmashauri, Ukarabati wa vyumba 3 vya madarasa katika shule ya msingi Mwaya, pamoja na ukarabati wa vyumba 3 vya madarasa katika shule ya msingi Mababu kata ya Mababu.

Pamoja na hayo, waheshimiwa Madiwani wamepongeza mwenendo mzuri wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika kata mbalimbali wilayani Kyela.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono, Amewaasa viongozi na wasimamizi wa miradi kuwashirikisha wananchi katika miradi inayoletwa katika jamii husika.

Ili wananchi, waendelee kujionea juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Mhe. Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pia amewataka maafisa ugani kuanzisha vitalu vya miche ya kakao katika kata zao, ili kuleta kilimo chenye tija.

Hata hivyo waheshimiwa madiwani wamepongeza jitihada kubwa zinazofanywa na wataalam kutoka halmashauri ya wilaya ya Kyela katika suala zima la usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa