• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Wasisitiza Kuongeza Kasi Ya Ujenzi, Ukarabati Wa Vyumba Vya Madarasa Kyela

Imewekwa Kwenye: March 8th, 2019

Kwa kipindi cha robo ya tatu sasa ya mwaka wa fedha wa 2018/2019, Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela, wamefanya ziara ya kutembelea ujenzi na ukarabati wa vyumba vya madarasa katika shule zisizopungua 15, wilayani hapa. 

Ziara hizi zimefanywa kwa kupitia kamati zao za kudumu, Na katika ziara hizo kwa ujumla wao waheshimiwa Madiwani, wamesisitiza kuongezwa kasi ya ukarabati na ujenzi wa vyumba vya madarasa ili kuwawezesha wanafunzi kuanza  masomo yao kwa wakati. 

Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna amesema, serikali ya awamu ya tano imetoa kiasi cha shilingi milioni 400,000,000/=,ili kuwezesha wanafunzi kupata elimu bure na yenye ubora zaidi. 

Aidha waheshimiwa Madiwani wamegundua kuwa kuna baadhi ya shule zimekuwa hazina taarifa za ujenzi wa awali na wamezitaka shule hizo kuandaa taarifa hizo na kuziwasilisha haraka. 

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna, alitoa muongozo wa matumizi ya fedha ambazo zimetolewa na serikali, kwa lengo na kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kwa malengo kusudiwa tu na si vinginevyo. 

Aidha pongezi zimetolewa kwa baadhi ya viongozi wa shule na wenyeviti wa bodi za shule, kwa kusimamia ujenzi wa awali wa maboma mengi ya madarasa. Shule ya sekondari ya Mwaya iliopo Kata ya Mwaya wilayani Kyela ni miongini mwa shule zilizopongezwa na kupewa shilingi milioni 100,000,000/= kwa umaliziaji wa maboma ya madara 9, waliyoyajenga kwa nguvu za wananchi. 

Mwisho walimu, viongozi pamoja na wananchi wameipongeza serikali kwa kuwasaidia katika umaliziaji na ujenzi wa vyumba vya madarasa wilayani hapa. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa