• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Watembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: July 29th, 2024

Waheshimiwa madiwani wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa kupitia kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira, kamati ya Fedha Uongozi na Mipango wilayani Kyela,  tarehe 25-29/07/2024.

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na mradi wa kikundi cha bodaboda (NIMABO)kata ya bondeni, umaliziaji wa mradi wa zahanati  Kiangala kata ya Talatala, umaliziaji wa mradi wa jengo la mama na mtoto Kapamisya kata ya mwaya, shamba la kokoa kijiji cha Kapamisya.

Miradi mingine ni ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kata ya Mwanganyanga, Zahanati ya  Ndandalo, Zahanati ya Nkuyu kata ya Nkuyu, Ujenzi wa mradi wa maji kijiji cha Lema kata ya Busale pamoja na mradi binafsi wa "Hoteli ya Songwe safari park" kata ya Ibanda.

Waheshimiwa Madiwani kupitia kamati ya uchumi ujenzi na mazingira, kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, wameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha za kuanzisha na kuendeleza  miradi hiyo katika wilaya ya Kyela.

Sambamba na hilo, Waheshimiwa Madiwani wamempongeza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri Bi.Flora Luhala kwa usimamizi mzuri wa fedha za miradi ya maendeleo.

Vilevile Waheshimiwa Madiwani wamewapongeza wananchi wa kijiji cha Kiangala kwa ushiriki wa ujenzi wa mradi wa zahanati ya kijiji chao, kwani kukamilika kwa zahanati hiyo ni msaada kwa kata husika na kata za jirani.

Pamoja na hayo Waheshimiwa Madiwani wamewapongeza wakulima wa zao la kokoa kijiji cha Kapamisya kwa utunzaji mzuri wa miche iliyogawiwa na halmashauri ya wilaya ya Kyela.

Pia  wametoa ushauri kwa wakulima, wazidi kutunza miche kwa njia ya kisasa hadi itakapoanza kutoa matunda ili waweze kupata mavuno kwa wingi.

Aidha Waheshimiwa madiwani kupitia kamati ya Fedha, wametoa maagizo kuhakikisha mradi wa zahanati ya Ndandalo kukamilisha maeneo yenye changamoto ili kutoa huduma bora kwa wananchi.

Mwisho waheshimiwa madiwani wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa